Wanabodi,
8. Kitendo cha mtumishi wa serikali, kukataa kutekeleza amri halali ya mkuu wake wa kazi, hiyo ni insubordination na adhabu yake ni summary dismissal!. Hivyo pamoja na genuinity yote ya madai ya madaktari, jee mgomo wao ni halali?, unafuata sheria za migomo kwa mujibu wa sheria zetu za kazi na maadili ya kidakitari?!.
Wasalaam
Pasco (wa jf)
Katika sheria mpya ya kazi, Industrial and Labour Relations Act-2004 hiyo kitu haipo na haitakiwi kusikika.
Badala yake kuna kitu kinaitwa "Termination of an Employment Contract". Na hii lazima ifuate Disciplinary Process kama ilivyoelezewa kwenye hiyo sheria.