Kwanza huu n mgomo ambao ungeweza kuepukika mapema kweli lakini hapa ulipofikia si pazuri kabisa.
Mwanakijiji,
Tupo ukurasa mmoja. Mie naona mgomo ulipofikia ndio pazuri kwani tunakaribia apex ya ukombozi wa kifikra kwa watanzania wote. Come 2015 (kama watafika maana wengine wanaweza kuwa Hague kama Gbagbo) kila kura italindwa kwa hali na mali. Kwenye kampeni inakuwa ni kuwakumbusha kuhusu ndugu zetu waliokufa kutokana na uzembe wa viongozi wao waliowaamini kwa miaka 50+.