Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Hivi huyu waziri wetu mkuu haya matamko anayatoa wapi?anaandaliwa au nayaandaa mwenyewe?Na anajua madhara yake hasa anapodeal na wasomi wanaotambua wajibu na haki zao?Hajui kwamba hakuna anayeogopa hiyo nikwara ya "nyau"?Sasa nalisubiria tamko lake leo nione kama litatatua tatizo la mgomo au kupunguza athari zake.
HUYU NI MTOTO WA MKULIMA KWELI??
HUYU NI MTOTO WA MKULIMA KWELI??