Mgomo wa madaktari:Daftari la maudhurio laibwa

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Hii habari inapatikana kwenye gazeti la mtanzania tena front page!
Na ilo tukio limetokea hospitali ya Amana dsm.
MY TAKE
Hawa watu wanapenda waendelee na mgomo ila hawataki julikana kuwa ni akina nani wanagoma!
Which means pia kuna uwezekano wa kuendelea na kazi ila kwa ufanisi mdogo bse dhamira yao ni kugoma ila wanalazimika tuu kwa ajili ya kuganga njaa!
Wito wangu kwa serikali sidhani kama hili ni la kutumia mabavu kaeni na madr mlisuluhishe ili watanzania wasio na hatia wanaangamia.
 
Back
Top Bottom