Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Wana forum, huku Mwika leo hakuna usafiri wa mabasi ya abiria(Hiace) kutoka Mwika na kwenda Moshi mjini. Inasemekana kwamba kuna mgomo Moshi mjini kutokana na kupandishwa ushuru wa stendi. Je ni kweli?