kapikita
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 131
- 72
Muda wowote kuanzia sasa, kutafanyika mgomo na maandamano makubwa kwa wanafunzi wa BAED mwaka wa kwanza na mwaka wa pili ili kushinikiza chuo na bodi ya mikopo kuleta majina ya kusain pesa na kulipwa kwa wakati pesa za field inayoanza mwezi huu tar 12.
Nitaendelea kuwapa updates kinachoendelea hapa chuoni.
Nitaendelea kuwapa updates kinachoendelea hapa chuoni.