Kuna kila dalili ya mgomo kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma hasa kolege ya education hapo kesho kutokana na kutokupewa fedha zao za kujikimu hadi hivi sasa.Ni takribani wiki mbili hivi sasa tangu chuo kilipofunguliwa lakini hawajapewa fedha zao za kujikimu hadi hivi sasa.
HATA HIVYO PAMETOKEA KUTOKUELEWANA KATI YA WANAFUNZI WALIOTOKA MAKAZINI NA WANAFUNZI WENGINE KWANI WALIOTOKA MAKAZINI WANAUPINGA VIKALI MGOMO HUO.
Source mimi mdau udom.
HATA HIVYO PAMETOKEA KUTOKUELEWANA KATI YA WANAFUNZI WALIOTOKA MAKAZINI NA WANAFUNZI WENGINE KWANI WALIOTOKA MAKAZINI WANAUPINGA VIKALI MGOMO HUO.
Source mimi mdau udom.