Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kila nikimkumbuka mwalim Jkn...machozi hunitoka. .....kwasababu alituacha mikononi mwa mafisi!
Mafisi aliyoyafuga na kuyalea yeye mwenyewe
Kila nikimkumbuka mwalim Jkn...machozi hunitoka. .....kwasababu alituacha mikononi mwa mafisi!
Nimepita ''sheli'' tatu bila kupata mafuta leo asubuhi,inawezakuwa kweli mkuu
Ungeenda vituo vya kuuzia mafuta ungepata, huko "sheli" ndo wapi?
Depot zote za kuuza mafuta ya jumla Dar es salaam zimegoma
Kama wana mafuta, halafu wanagoma kuyauza watakuwa wametenda kosa la uhujumu uchumi. kama Ewura wako serious wapitie vituoni wakague kama kweli hakuna mafuta kwenye visima husika.
Habari nilizo zipata sasa hivi kutoka kwa wadau wa mafuta, inaelekea makampuni ya mafuta yakagoma kesho kuuza mafuta kutoka na kupunguziwa bei ya kuuza mafuta iliyotokana na kuondolewa baadhi ya kodi.
nchi inaelekea pabaya , kama zimbabwe, tujiadhali
Habari nilizo zipata sasa hivi kutoka kwa wadau wa mafuta, inaelekea makampuni ya mafuta yakagoma kesho kuuza mafuta kutoka na kupunguziwa bei ya kuuza mafuta iliyotokana na kuondolewa baadhi ya kodi.
nchi inaelekea pabaya , kama zimbabwe, tujiadhali
hapa tunachezewa akili tu baada ya miezi 3 bei itarudi pale pale na kuzidi kupaa!kwani bei ya kikomo ya juma hili ni Tsh 2004!sasa kila wiki bei muongozo itakuwa inapanda kidogokidogo mapaka pale tutakapofikia ile ya awali na kuipita!