BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wana JF,
Kuna sms inayosambaa kwa sasa ya kuwa serikali imelazimisha kushusha bei ya mafuta kuanzia tarehe 1 August, hivyo wauza mafuta watagoma J3.
Wanashauri wananchi wajaze mafuta ya kutosha kipindi cha mgomo!
MY NOTE isije ikawa wanalazimisha kuuza ili J3 wasije uza kwa bei ya chini
Kuna sms inayosambaa kwa sasa ya kuwa serikali imelazimisha kushusha bei ya mafuta kuanzia tarehe 1 August, hivyo wauza mafuta watagoma J3.
Wanashauri wananchi wajaze mafuta ya kutosha kipindi cha mgomo!
MY NOTE isije ikawa wanalazimisha kuuza ili J3 wasije uza kwa bei ya chini