Tuyuku
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 3,292
- 1,919
- Thread starter
- #21
Watoto wa watu wanaoishi hosteli binafsi karibu na chuo wanachanganyikiwa kweli hawajui hatma yao....uongozi mbovu unasababisha maisha magumu sana kwa watoto wa watu.jamani kwani solution pekee katika hali kama hizi huwa ni kufunga vyuo tu? mbona wanaingiza wanafunzi na wazazi/walezi katika gharama zisizo za lazima?poleni wadauMungu yupo atasikia sala zetu