MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

Kuna Interns 700 mwezi ujao wanaanza kazi.

mkuu intern 700 uwatolee wapi?!
waliomaliza;
muh2 ni 170
bugando 50
KCMC 80
HKMU 59
IMTU 65
UDOM HAKUNA
jumla ni wangapi hao?? ---kuna foreigners wanarudi makwao,!!
-kuna watu wenye supplementary so hawawezi kumaliza!!
-kuna wengine wanaanza research ktk NGO( kumbuka internship unafanya muda wowote)
-kuna ambao watafanya internship katika private hospitals!!
ngoja serikali iendelee kuwadanganya..
 
Haki yao milioni 7,700,000 kwa mwezi mmeishaambiwa muajiri wako hana uwezo wa kutoa mshahara huo kama mnataka masalahi zaidi ruksa kwenda sehemu ingine wanapolipa vizuri.
Akili nzuri sana!! walikuwa wakidai jumla ya 70bn! suluhisho tutaajiri wageni na tumetenga 700bn!! hata kuku angefikiri tofauti na kufanya busara!!
 
Hapo hakuna Baraza la Madaktari, labda kama walioandika ni watu wa Serikalini, maana kama baraza linaongozwa na madaktari ambao wanaona shida kwenye tasnia ya utabibu hawawezi kuandika hiyo barua. Kama aliyeandika ni KONDAKTA wa daladala sawa maana hajui kinachowasibu.
 
hahaha
.uajiri kutoka wapi?! nchi gani haina upungufu wa madaktari?
angalia current statistics za WHO za doctor to patient ratio!!
- afu hata kama wakija, unadhani utawalipa sawa na mshahara wa kwao(kumbuka TZ ndio inamalipo madogo ktk nchi za sekta ya Afya ktk East and central Africa)? makazi na usafiri wao je? wakalimani? malipo ya wakalimani? afu unadhani watakaa TZ milele?
 
Hii ni sawa na mtu anayeamua KUJICHINJA......yaani anakata kichwa chake mwenyewe......just because of a SIMPLE HEADACHE...that an ASPRIN can cure
 
interns huwa hawana liseni... serikali sasa iache ujinga wa kuhadaa kwani wananchi watajua inawahadaa na chuki itaongezekaleseni yua practice hutolewa baada ya dr kumaliza intern na kufanya kazi miaka miwili na kuendelea na kupata approval THIS IS ANOTHER CHEAP LIE TO PEOPLE

Ni kweli interns huwa hawana leseni bali wana vyeti vya usajili wa muda tu (Provision reg certificate) hata mi niliemaliza intern mwaka jana cijapata leseni mpaka after one year. Serikali inadanganya
 
Bob marley aliimba na leo wimbo wake naona unareflect reality
"running away" album = kaya
mgomo wa madaktari ni sahihi, do not be mixed up by the consequence of the strike, nikikosa ama kuyapata hayo matibabu duni ninayoyagrade group moja na polonium.
 
It is a government body, working under the ministry of health.. the chairperson of the council is the chief medical officer who is the presidential appointee. Na miongoni ya maorodhesho yaliyotolewa na madaktari na kuchukuliwa na kamati ya bunge ni kuhusu ku'review structure na function ya baraza lenyewe.... Sishangai uamuzi huu, nashauri madaktari wasife moyo wajipange upya kuna uozo mwingi sana unaoendelea

Medical council has acted unfairly. Mimi nilidhani hili baraza ni similar to institituion of Engineers ambayo inasajili wahandisi and as such should not be playing politics(revoking en mass usajili wa interns wote is suspect). Which begs the question is medical council a goverment body or a proffesional body?
 
kwa sisi madaktari inabidi tufanye kitu kunusuru hawa wenzetu wliofutiwa leseni za muda.Ni lazima mgomo huanze upya wakitaka watufute wote ili wanajeshi na polisi ndo watibu wagonjwa.Hii inamaanisha kilio chetu hawakioni.Liwalo na liwe
 
Sijui akili za mbayuwayu alizosema akichanganya na zake ndiyo mwisho wa panel ya urais ilipofikia katika kusuluhisha hili!!!!!
Sidhani kama unafuatilia mambo, kumbuka mara ya kwanza waligoma kuongea hadi na waziri mkuu, rais akakutana nao, wakatulia, awamu hii waliambiwa waendelee na mazungumzo huku huduma zikiendelea kutolewa, wakasema wanaendelea na mgomo ambao hauna kikomo,

Mahakama imechukua nafasi yake ili sheria ichukue mkondo wake kusitisha mgomo na kuamuru maongezi yaendelee, bado madaktari wamekaidi, sasa ndg zangu tuwe wakweli na tusiwe biased, hivi katika hali ambayo sheria na chombo cha kusimamia haki vinakiukwa ni hatua gani zichukuliwe ili watu washerekee ama wafurahi, tukumbuke hii migomo tuliyokuwa yunaishabikia, sasa hivi tena imekuwa lawama, nchi hii tumezidi kelele hata pale ambapo hapastahili hadi tunasahau hata mambo ya msingi na yasiyo ya msingi. Tafakari.
 
Bob marley aliimba na leo wimbo wake naona unareflect reality
"running away" album = kaya
mgomo wa madaktari ni sahihi, do not be mixed up by the consequence of the strike, nikikosa ama kuyapata hayo matibabu duni ninayoyagrade group moja na polonium.

Kaya man.
 
Ritz, kuna makosa yamefanyika, lakini kuhusu interns nakuomba tujaribu kuangalia swala tofauti kidogo. Lets do a little bit more kuhusu hawa interns. Tukumbuke kuwa interns wako katika kujifunza, kujifunza sio kutibu tu bali hata jinsi ya kuishi kazini. Sasa hawa wanaowafundisha kazi wamewaambia kuwa hapa mambo ni kugoma, interns hawezi kumbishia senior wake anayemfundisha. Kumbuka wamekabishidwa kwa registrars na specialists ili wawafundishe na wao wamewafundisha kugoma.

Ndiposa Mbayuwayu akatufundisha kuwa ...changanya na za kwako....LOL!
 
Bob marley aliimba na leo wimbo wake naona unareflect reality
"running away" album = kaya
mgomo wa madaktari ni sahihi, do not be mixed up by the consequence of the strike, nikikosa ama kuyapata hayo matibabu duni ninayoyagrade group moja na polonium.

Kwahiyo wanafanya kazi kwa kufuata ushauri uliopo kwenye ujumbe wa bob?? I wish kama wewe ni lawyer then ukawadefend mahakamani kwa hoja hiyo unayoitumia kuhalalisha mgomo.....
 
kwa sisi madaktari inabidi tufanye kitu kunusuru hawa wenzetu wliofutiwa leseni za muda.Ni lazima mgomo huanze upya wakitaka watufute wote ili wanajeshi na polisi ndo watibu wagonjwa.Hii inamaanisha kilio chetu hawakioni.Liwalo na liwe

Tatizo daktari (if at all u are....) mnacheza na dubwana linaloitwa State tena kwenye nchi isiyo na utamaduni wa viongozi kuwajibika..... You will be on the losing side angalia wasiwape kichwa humu jukwaaani at the end it will remain to be your own issue (personal) though kwa sasa unatumia wingi...kilio chetu.... yakishatimia inakuwa kilio changu...Ivi hata kama Labour law huijui hata mkataba wako hukuuusoma vizuri?? na kiapo uliapa tu bila kujua maana yake?? Maana hivyo mwisho wa siku ndivyo vinavyotumika kukuhukumu...
 
Bodi imefanya maamuzi kwa mujibu wa sheria; ila katika mazingira ya kibinadamu wawasemehe vijana; kwani walishatii amri ya kurudi kazini; wapewe karipio kali na wawe chini ya ungalizi wa serikali kwa kipindi cha miaka 5 ili liwe fundisho kwa wengine; hasa ukizingatia chanzo cha mgomo ulishinikizwa na wanasiasa wenye agenda zao; vijana walipotoshwa wasamehewe warudi kazini kuwatumikia watanzania.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom