hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Kuna Interns 700 mwezi ujao wanaanza kazi.
mkuu intern 700 uwatolee wapi?!
waliomaliza;
muh2 ni 170
bugando 50
KCMC 80
HKMU 59
IMTU 65
UDOM HAKUNA
jumla ni wangapi hao?? ---kuna foreigners wanarudi makwao,!!
-kuna watu wenye supplementary so hawawezi kumaliza!!
-kuna wengine wanaanza research ktk NGO( kumbuka internship unafanya muda wowote)
-kuna ambao watafanya internship katika private hospitals!!
ngoja serikali iendelee kuwadanganya..