MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

msiba wa mwenzio sio wa kuufurahia ninasikitika coz ni vijana wenzangu hawa ambao wamepatwa na huu mkasa wa kupokonywa leseni lakini naomba tupate fundisho moja kuwa muda ambao watu wengu wanakushauri kuacha jambo fulani ni vyema ukaacha then ukajiepusha na matatizo kwani hata sasa tunapozungumza hivi sio wote watakaoweza kwenda kutafuta ajila nje wengine watakuwa wameshaharibu ndoto za maisha yao hatakama najua kuna wengine watasema maisha sio udaktari pekeyake.
but msikate tamaa mungu yupo tuendelee kumuomba may be mtarudishiwa hizo leseni zenu
POLENI SANA KWA YALIYOWAKUTA
Fisimaji wewe! Hii ndiyo shida ya vijana hamkupita JKT enzi ile. Serikali ya Tanzania haina jeuri ya kuwafuta leseni hata madaktari 10! Na naamini vijana madaktari hawana uwoga wa kijinga kupigania haki zao!
 
Unataka suluhu gani tena wakati Madaktari ndio wameanzisha mgomo wakitaka mshahara mkubwa wewe ulikuwa unataka wanachotaka madaktari wanachotaka wapewe tu sababu ni madaktari serikali hawezi kutoa milioni 7.700.000 subirini Chadema wakichukuwa nchi watawalipa milioni 10.
Bosi wako legelege,dhaifu milion 7 kwa Doctors haiwezekani Tanapa,TRA,BANDARINI,MAWAZIRI/WABUNGE NA SAFARI ZAKE kwenda kuonana na 50cent kwa millioni 700 inawezekana kweli ni 3Drs JK anamadegree ya ukweli.
 
[h=6]ufisadi wa ajira wilaya ya ilala.

SALUMU KAZUKAMWE ni afisa manunuzi wa wilaya ya ilala,huyu jamaa aliajiriwa kupitia mlango wa nyuma ie kwa rushwa na alibebwa na katanga ambaye sasa ni katibu mkuu wa TAMISEMI, ajira haikutangazwa popote kinyume na taratibu za ajira serikalini.jamaa ali push kwa kumhonga mkurugenzi wa wilaya ya ilala tsh laki sita.

salum maarufu kwa jina la KAZU aliiba pesa za misaada ya waathirika wa mafuriko ya jangwani akanunulia gari aina ya suzuki vitara nyekundu.

wanatanuru,tuimulike kwa macho mawili halmashauri ya manispaa ya ilala kuhusu ajira za mlango wa nyuma.[/h]
 
Haki yao milioni 7,700,000 kwa mwezi mmeishaambiwa muajiri wako hana uwezo wa kutoa mshahara huo kama mnataka masalahi zaidi ruksa kwenda sehemu ingine wanapolipa vizuri.

Mkuu wangu hii nchi yetu na sio yako au ya nani, so ukisema kwenda sehemu nyingine nadhani una mean tofauti, zaidi Wabunge hizo hela wanazolipwa kwa mwezi zinatoka wapi??Hapa sasa tuweke ushabiki pembeni, sema ukweli unaona wabunge hela wanazolipwa ni sawa kabisa kutokana na kazi wanazofanya??Mbunge na daktari nani anapaswa kulipwa hela nyingi kutokana na kazi?Wabunge wengine toka bunge lianze hawajawahi kuchangia kitu chochote zaidi ya kupiga makofi nakugonga meza je unaona ni sawa??
 
hayo maneno hapo kwenye wino mweusi uliokolea si ya kweli! Mbona hao hao waliojaa maji vichwani wanapochukua kadi za cdm mnawaita majembe/jembe?? haya ndio mambo yanayochelewesha ukombozi wa kweli! Unafiki mwingiiiiiii..!!

Mkuu wangu jaribu kufikiria saa zingine mtu akiandika kitu, niliavyoandika kumejaa vichwa maji sija mean kila mtu, wengine wapo wengi tu wanapiga kazi na zinaonekana CCM sio wote ni vichwa maji na ndio maana siku sema wote ni vichwa maji.Elewa hapo
 
be sincere mkuu, 2015 ni mbali ukilinganisha na matatizo tunayopitia. Chukulia mfano kama mtu anateswa kwa staili ya Dr. Ulimboka Stephen kwa interval ya miezi mitatu mitatu itakuwaje!?

Lakini pia maswali ya msingi ya kujiuliza hapa:
1. Inachukua muda gani kumfunza daktari mpaka kufuzu?
2. Ni wanafunzi wangapi (vijana) wako tayari na wana uwezo wa kusomea hii fani?
3. Watatumia muda gani na gharama kufidia hilo pengo la madaktari 319?

Lakini swali zaidi tunaloweza kulitumia kujifunza ni kama serikali ingelitumia strategy hii hii kuwasimamisha/kuwafukuza kazi wabadhirifu serikalini si tungelikuwa tunaizidi China kwa maendeleo!????


Mkuu wangu nimependa sana comment yako, si umeona mweyewe??Wezi wa EPA sijui Richmond wote hamna aliyeguswa wal kuulizwa, ila madaktari wanadai chao wanakuzwa kazi ni sawa kweli??Inauma sana kwa kweli sio siri, nchi ina kila kitu lakini mambo yanayofanyika ni hatari tu.
 
masikini wa akili wewe!

Wewe pompompo sana,kwani hujui anayei-challenge serikali lazima ashughulikiwe?Mbona unacomment as if huijui serikali ya Tanzania.Kwajinsi mlivyo wanafiki mnawajaza wenzenu ujinga halafu mambo yakiharibika mnawakimbia.Oneni sasa wadogo zetu wa Intern wanahangaika peke yao wapuuzi kama wewe mliokuwa mnawadanganya mmekaa kimya kama hamuoni,Wewe wa hovyo sana!!
 
Back
Top Bottom