BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Nikiwa na uchungu, machozi yakinilenga lenga nimetafakari jambo hili.
Napendekeza tuwe na mgomo dhidi ya Jeshi La Polisi nchi nzima. Kila mtu amsusie polisi popote pale, tukikutana barabarani, unapita kwa mbali usimsogelee, kwenye hoteli, bar etc. ukimkuta amekaa hakuna raia kumsogelea, na akija kukaa ulipokaa unaondoka unamwacha peke yake. Kwenye mabasi akija kukaa karibu yako unaondoka anakaa peke yake.
Namaanisha tunawasusia kwa kila kitu mpaka wajione kama wenye ukoma vile.
Napendekeza tuwe na mgomo dhidi ya Jeshi La Polisi nchi nzima. Kila mtu amsusie polisi popote pale, tukikutana barabarani, unapita kwa mbali usimsogelee, kwenye hoteli, bar etc. ukimkuta amekaa hakuna raia kumsogelea, na akija kukaa ulipokaa unaondoka unamwacha peke yake. Kwenye mabasi akija kukaa karibu yako unaondoka anakaa peke yake.
Namaanisha tunawasusia kwa kila kitu mpaka wajione kama wenye ukoma vile.