Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Tafiti zilizofanywa na watanzania ni kuwa Tanzania na vijana wengi kwa sasa wanamuhitaji Rais msomi zaidi kama professor. Wengine walifikia hitimisho kuwa kwa sasa Watanzania wanamuhitaji Prof. Anna Tibaijuka aichukue nchi hii. anafaa ni mchapakazi, msomi mwenye uzoefu wa kimataifa.

Teh Teh Escrow Queen
 
..Magufuli keshafeli ktk mtihani wa diplomasia.

..ile kauli yake kwamba tusifanye makosa kama yaliyofanywa na Zaire, Iraq, Libya, etc siyo sahihi kidiplomasia.

..ikiwa atafanikiwa kuwa Raisi, washauri wake watakuwa na wakati mgumu sana kuhakikisha hatoi kauli zinazoweza kutuingiza ktk mizozo ya kidiplomasia na mataifa mengine.

..mtu anapokuwa Raisi anapaswa kuwa makini na kauli zake. sasa nadhani so far Magufuli ameonyesha upungufu mkubwa ktk eneo hilo.

cc MK254, Geza Ulole
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni keeling wale wanaosema Kuwa elimu yetu imeshuka Kama si ushabiki yaliyo stemware na Magufuli ni sawa wala hakuna tafrani ya international relation. Kama ni ushabiki Lowasa Hafai
 
Wajameni uzi wangu huu bado uko valid kwa sababu zile sababu nilizo zisikia za why mgombea wa CCM ni Magufuli sijazitaja kwa sababu siziamini!. Kama kuna yeyote humu anayejua ilikuwaje akawa ni Magufuli naomba atudokeze vinginevyo itanilazimu nizitaje, na ikitokea zikawa ni kweli, then Magufuli atakuwa hatufai kabisa ni mtu wa kumuogopa kama ukoma!.
Pasco
 
Wajameni uzi wangu huu bado uko valid kwa sababu zile sababu nilizo zisikia za why mgombea wa CCM ni Magufuli sijazitaja kwa sababu siziamini!. Kama kuna yeyote humu anayejua ilikuwaje akawa ni Magufuli naomba atudokeze vinginevyo itanilazimu nizitaje, na ikitokea zikawa ni kweli, then Magufuli atakuwa hatufai kabisa ni mtu wa kumuogopa kama ukoma!.
Pasco
Common sense ! Jamaa wamemweka kulinda maslahi yao. Ni mwepesi kuwa controlled. That is it Pasco
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco, pole sana km hii kwako bado ni tip! Kumbe uko nyuma sn, hii ulikuwa confirmed tangu 2005 mara baada ya JK kuteuliwa kuwa mgombea, na yalikuwa ni mapendekezo ya che nkapa. Mi namuunga mkono, jamaa anafaa sn kwa hiyo nafasi.

we Noma mkuu,uko makini..jamaa anakimbiza huku
 
magufuli ni mchapakazi lakini hafai kuwa kwa rais kwa sababu zifuatazo
1. intellectual arrogance - anadhan kua anajua kila kitu na akishaamua basi hakuna wazo jipya litakalokuja kuimprove alichoamua ni lazima kifanyike ivyo ivyo au hakuna wazo jipya litalomfanya abadili maamuz kwamba hicho anachokitaka kinawez kisiwe sahihi kwa mfano alivyokua anavunjia watu ovyo mpaka aliposhinwa ile kesi mahakamani wakat yy alikua anang'ang'ania kua anatimiza sheria.

2. hana uvumilivu - kiongoz bora yoyote lazima awe mvumilivu hasa anapokosolewa kwa mfano anapandoisha jazba kwa mambo madogo aliwambia watu wasioweza lipa nauli mpya ya kivuko wapige mbizi wakat kiongoz mzuri angekaa kimya tu.

3. anafata sheria kisabato - sheria hata kama ipo mda mwingine busara itumike kwa mfano anapong'ang'ania kuvunjia watu hata sehem zisizo na tija bila huruma nadhan akipewa lungu la urais watu watasaga meno kwa kigezo cha kufata sheria. ndo mana hata jesus aliuliza its ok usifanye kazi jmosi lakini ngombe wako akidumbukia mtoni hutamtoa busara ya bwana magufuli ni kwamba sitamtoa acha afe!!!

4. atakua haeshim judiciary - kitendo chake cha kujitafisira sheria anavyojua na kuzitekeleza kitamcost na kitasumbua watu akiwa rais, mara zaid ya 2 mahakama ndio imetoa nishai kwa kutengua maamuz yake ambayo yy alikua anadai anafata sheria nk

magufuli ni mtendaji mzuri nadhan kwa nafasi ya urais unaitaji caliber ya juu kidogo zaidi ya utendaji ambayo bwana magufuli hana nampenda kwa uchapa kazi wake lakini kwa urais hapana the maximum he can go up ni kua prime minister si zaid ya apo.

the ultimate glory i honestly fee should go to Dk. Harrison mwakyembe, he is composed, mchapa kazi na sheria anazijua vizur and he got the caliber kuwa mvumilivu!!!

sitta is simply lacking some know how and smartness, and he has already passed his sell by date!!!

kashakua sawa,kula limao
 
magufuli ni mchapakazi lakini hafai kuwa kwa rais kwa sababu zifuatazo
1. intellectual arrogance - anadhan kua anajua kila kitu na akishaamua basi hakuna wazo jipya litakalokuja kuimprove alichoamua ni lazima kifanyike ivyo ivyo au hakuna wazo jipya litalomfanya abadili maamuz kwamba hicho anachokitaka kinawez kisiwe sahihi kwa mfano alivyokua anavunjia watu ovyo mpaka aliposhinwa ile kesi mahakamani wakat yy alikua anang'ang'ania kua anatimiza sheria.

2. hana uvumilivu - kiongoz bora yoyote lazima awe mvumilivu hasa anapokosolewa kwa mfano anapandoisha jazba kwa mambo madogo aliwambia watu wasioweza lipa nauli mpya ya kivuko wapige mbizi wakat kiongoz mzuri angekaa kimya tu.

3. anafata sheria kisabato - sheria hata kama ipo mda mwingine busara itumike kwa mfano anapong'ang'ania kuvunjia watu hata sehem zisizo na tija bila huruma nadhan akipewa lungu la urais watu watasaga meno kwa kigezo cha kufata sheria. ndo mana hata jesus aliuliza its ok usifanye kazi jmosi lakini ngombe wako akidumbukia mtoni hutamtoa busara ya bwana magufuli ni kwamba sitamtoa acha afe!!!

4. atakua haeshim judiciary - kitendo chake cha kujitafisira sheria anavyojua na kuzitekeleza kitamcost na kitasumbua watu akiwa rais, mara zaid ya 2 mahakama ndio imetoa nishai kwa kutengua maamuz yake ambayo yy alikua anadai anafata sheria nk

magufuli ni mtendaji mzuri nadhan kwa nafasi ya urais unaitaji caliber ya juu kidogo zaidi ya utendaji ambayo bwana magufuli hana nampenda kwa uchapa kazi wake lakini kwa urais hapana the maximum he can go up ni kua prime minister si zaid ya apo.

the ultimate glory i honestly fee should go to Dk. Harrison mwakyembe, he is composed, mchapa kazi na sheria anazijua vizur and he got the caliber kuwa mvumilivu!!!

sitta is simply lacking some know how and smartness, and he has already passed his sell by date!!!

kashakua sawa,kula limao mkuu
 
Then the momentum changed from the "hated one" to the "loved one".

Hapa naanza kuamini ile kauli ya membe

" watanzania ni watu wanaobadilika ......."-B.K.Membe.
 
Tunahitaji rais kama magufuli,nchi hii imechoshwa na siasa na sasa inataka utendaji na vitu vionekane kwa mipango,watu wanafanya nchi kama idara ya zimamoto, nchi imekuwa na slogani nyingi,mara ari mpya,maisha bora,kilimo kwanza, big result now,mabilioni ya kikwete...magufuli hana upuuzi huo,yeye anafanya kazi japo ana mapungufu, mapungufu hayo yanafunikwa na utendaji,usimamiaji.KAMA HAMTAMPA WA MUUNGANO,NI BORA TANGANYIKA IRUDI TUTAMPA URAIS WA HUKU

Mkuu tumempata na nchi inasonga mbele
 
Pasco huwa anaahidi kutoa sababu,lakini anapiga kimya tunakumbuka uteuzi wa JPM kugombea kupitia CCM akaahidi tutajua sababu baada ya kuteuliwa lakini Mwisho wa siku hatukujua sababu.
Mkuu Mkwala, kanuni kuu na ya kwanza kabisa ya waandishi wa habari ni "Tell nothing but the truth", yaani kusema ukweli ndio jambo kuu la kwanza.

Hivyo ukisikia jambo fulani kuwa ni kweli limetokea, wewe usipoliamini, unashauriwa usiliandike!.

Hivyo hizo sababu kwa nini ni Magufuli na ni nani walioamua ni Magufuli, nilitajiwa, ila mimi mwenyewe siamini kuwa huo ndio ukweli wenyewe!, ndio maana nikashauri, amini kuwa nilisema ni Magufuli na kweli ikatokea tuu kuwa ni kweli ni Magufuli, just a coincidentally!.

Pasco
 
Mkuu Mkwala, kanuni kuu na ya kwanza kabisa ya waandishi wa habari ni "Tell nothing but the truth", yaani kusema ukweli ndio jambo kuu la kwanza.

Hivyo ukisikia jambo fulani kuwa ni kweli limetokea, wewe usipoliamini, unashauriwa usiliandike!.

Hivyo hizo sababu kwa nini ni Magufuli na ni nani walioamua ni Magufuli, nilitajiwa, ila mimi mwenyewe siamini kuwa huo ndio ukweli wenyewe!, ndio maana nikashauri, amini kuwa nilisema ni Magufuli na kweli ikatokea tuu kuwa ni kweli ni Magufuli, just a coincidentally!.

Pasco
Pasco unazingua tumwagie sababu, sisi wagalatia tunataka kuzijua
 
Kitabu cha siri ndani ya CCM kinasema " ni haramu kafiri (mkristo) kuwa mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Mi sishangahi kuona Magufuli ndo mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM ila watambue kuwa nchi hii haina dini, kabila, wala kanda.Nchi ni yawote...
Jiulize je! Katika historia ya Tanzania kashatokea mgombea uraisi mkristo kwa tiketi ya CCM?
Waache ujinga tuijenge nchi.
Mkuu,popote ulipo..naomba ujitokeze na utoe maelezo kuhusu kitabu cha siri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom