Jamaa ABDULAZIZ ABOOD anashngaza sana huku moro. Yeye anasaidia watu kwenda kuzika kwa kutumia basi lake maalum la Abood. cha ajabu wagonjwa hawapatii msaada wa gari kupelekwa hospitali. ni kampeni za kupata kura za mambumbu.
Ni kweli anamachungu na nguvu kazi au na nguvu mfu?
Ni kweli anamachungu na nguvu kazi au na nguvu mfu?