mie nipo shy.Chama kina hazina ya vijana wengi kama wakina matola!huu ndo upuuzi ambao unapelekea ccm kuendelea kuwa madarakani yaani vijana wanafiki ndo makini kweli mungu saidia tanzania tunaangamia.mamajack karibu shy town
mie nipo shy.Chama kina hazina ya vijana wengi kama wakina matola!huu ndo upuuzi ambao unapelekea ccm kuendelea kuwa madarakani yaani vijana wanafiki ndo makini kweli mungu saidia tanzania tunaangamia.mamajack karibu shy town
Join Date : 16th August 2012Chama kina hazina ya vijana wengi kama wakina matola!huu ndo upuuzi ambao unapelekea ccm kuendelea kuwa madarakani yaani vijana wanafiki ndo makini kweli mungu saidia tanzania tunaangamia.mamajack karibu shy town
zaha zaha,usipanic,mie nia yangu ni kumshauri tu huyu mweshimiwa,wewe nia yako unaijua moyoni mwako.
Lakini pia unanipa wasi wasi na nia yako kwa huyu mweshimiwa sana mp rahel,mbona unakuwa na jaziba sana?? Kwani vipi??acha siasa za kiccm bana chadema always siasa safi.na isitoshe humu jamvini what we do ni kushauri tu,kama unachokisema kina hoja za msingi mbona kuchanganyikiwa????
Namtakia kila lakheri Rachel na aonyeshe kwa vitendo kama anaweza maana ndugu zangu wasukuma kuongozwa na mwanamke lazina kuwe na uwezo wa ziada otherwise....watamshambulia na matusi
Join Date : 16th August 2012
Posts : 9
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0
dah,nilikuwa sijabaini hiki kitu.
mie nipo shy.
Huyu ndo yule viti maalum wa CDM aliyesema wazungu wanachukua mchanga wa dhahabu wanaenda kuotesha ulaya?! Af mnataka agombee kwenye jimbo? Kaazi kwelikweli...
zaha acha ushamba wewe,yaani kwa vile nimemkosoa mashishanga ndo nipo machame????hahahahaha,pole na siasa za ukanda ndugu yangu.labda tu nikusaidie kitu ambacho nahisi kitakuwa na maana.tunavyotaka watu kama rechal wafanye kazi za kuonekana kwenye jamii,ndiyo tunahakikisha kuondoa siasa za ukanda na ukabila,sio kwa sababu watu flani wanafanya vizuri wakasifiwa,sasa kwetu iwe shida kuwakosoa wa wale walioko upande wa kanda zetu.tunapaswa kuwaambia ukweli ili wafanye kazi effective,na baadae tutawasikia wanashine na ukanda mzima utaoneka unashine.pole sana maana unaishi kwa kuhofia wamachame!kiboko yako eeeeeeeeeee,Shy hatuna watu kama wewe labda utakuwa unaishi machame.
zaha acha ushamba wewe,yaani kwa vile nimemkosoa mashishanga ndo nipo machame????hahahahaha,pole na siasa za ukanda ndugu yangu.labda tu nikusaidie kitu ambacho nahisi kitakuwa na maana.tunavyotaka watu kama rechal wafanye kazi za kuonekana kwenye jamii,ndiyo tunahakikisha kuondoa siasa za ukanda na ukabila,sio kwa sababu watu flani wanafanya vizuri wakasifiwa,sasa kwetu iwe shida kuwakosoa wa wale walioko upande wa kanda zetu.tunapaswa kuwaambia ukweli ili wafanye kazi effective,na baadae tutawasikia wanashine na ukanda mzima utaoneka unashine.pole sana maana unaishi kwa kuhofia wamachame!kiboko yako eeeeeeeeeee,
mlebasaji gete kama ndo akili zenu mgando hivyo.badala mdai viogonzi wafanye the best,yo claim biororoni.Kibororoni@work.
mlebasaji gete kama ndo akili zenu mgando hivyo.badala mdai viogonzi wafanye the best,yo claim biororoni.
badilikeni,msipende kudai kusifiwa wakati kazi zenu hazijizihilishi kwa uma.msiwe walalamishi.and tukubali kukosoana ili tufanikishe kuijenga shinyanga yetu,acheni kupamba bulabo sehemu yenye takataka safisha kwanza then decolate.watu.na huyo rechal akifanya kazi watu wakaona haina hata haja ya hoja za kujipima jf ,ni moja kwa moja kwa wananchi .kwanini asisemwe kasulumbai asemwe rechal.shauri ying'we.mtigwaga ya baguhe.wena kaji gete,o ndoho masala no bhebhe!!!
Kama ulikuwa unadhani au unafikiri mimi ni Mwanachama wa Chadema pole sana, mimi ni Mwanaharakati huru ambaye nasimama katika kweli tu, na Chadema ndio chama tunachokiamni kwa sasa kuongoza harakati hizi. sina hata ndoto ya kugombea hata udiwani.Chama kina hazina ya vijana wengi kama wakina matola!huu ndo upuuzi ambao unapelekea ccm kuendelea kuwa madarakani yaani vijana wanafiki ndo makini kweli mungu saidia tanzania tunaangamia.mamajack karibu shy town
Wena kaji gete,o ndoho masala no bhebhe!!!
Ha ha ha wanataka Mchaga hata Shinyanga? Kumbe ni Msukuma si wenzio tulikuwa hatujui! Hovyo kabisa, mpanda basi la Ukabila. Kwani yulle Magadula aliyegombea Shinyanga Mjini alikuwa kabila gani? Na kule Segerea nani alikuwa Mchaga kati ya Mpendazoe na Rachel?Matola acha matusi. Rachel ni jembe ambalo huwa halikurupuki katika hoja zake nimegundua kitu kinachomsumbua rachel ni usukuma wake na cdm wanataka wachaga tu ndio waonekane majembe!vp matola unaendelea na uongozi segerea?
Binafsi ninamkubali sana huyu Rahel. Nimewahi kusikiliza hoja zake bunge la June mwaka huu. She is smart ila sijajua kiwango chake cha kuuzika kwa wananchi.