Kwa habari nilizozipata hivi karibuni ni kwamba graph ya mgombea wa TLP ndugu Mlindoko imepanda kwa kasi sana kiasi cha kuhatarisha kura za Komu na inasemekana Augustino Lyatonga Mrema anampigia debe kali na inaelekea anakubalika kwa kasi. Mwenyekuujua ukweli zaidi atujuze tafadhali