Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Yule Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkenge ambaye alikuwa amechukua uamuzi wake wa kusitisha michakato ya ugombea ubunge ndugu Phocas Rwegasira, ametengua uamuzi wake na sasa atagombea na anaendelea na kampeni kama kawaida kule jimboni kwake.
Habari ndiyo hiyo
Habari ndiyo hiyo