ni Bwana Msafiri Shaban Kamoto, Mkazi wa Mabibo mtaa wa Barcalona Ni aliewahi kugombea Udiwa kata ya Mabibo 2010.
Mzazi wa mtoto huyo wa miaka 13 bwana Hamis Mussa.
Lakini baada ya kufanya kitendo hicho na kuripotiwa polisi, Polisi wa Urafiki wamegeuza mashtaka na kuwatia hatiani mzee huyo wa maiak 70 eti kwa kosa la kutaka kumua Mtuhumiwa.
Cha ajabu licha ya polisi kugeuza kibao kwa mzee aliekumbwa na tukio hilo. lakini walidai Mh Msafiri Shaban Kamoto amelazwa muhimbi ICU akipatiwa matibabu.
lkn Wazee wa mtaa na wasamaria wema walipofuatilia swala hilo nyumbani kwa mtuhumiwa. walimkuta sebuleni akingalia Mchezo wa Mizwenge.
Inasemakana Chadema wamelivalia njuga kwa kushirikiana na polisi wa Urafiki kulimaliza swali hili kiana
Wazee wamemuomba IGP mwema kuingilia kati.
Source. Annur ya leo
Mzazi wa mtoto huyo wa miaka 13 bwana Hamis Mussa.
Lakini baada ya kufanya kitendo hicho na kuripotiwa polisi, Polisi wa Urafiki wamegeuza mashtaka na kuwatia hatiani mzee huyo wa maiak 70 eti kwa kosa la kutaka kumua Mtuhumiwa.
Cha ajabu licha ya polisi kugeuza kibao kwa mzee aliekumbwa na tukio hilo. lakini walidai Mh Msafiri Shaban Kamoto amelazwa muhimbi ICU akipatiwa matibabu.
lkn Wazee wa mtaa na wasamaria wema walipofuatilia swala hilo nyumbani kwa mtuhumiwa. walimkuta sebuleni akingalia Mchezo wa Mizwenge.
Inasemakana Chadema wamelivalia njuga kwa kushirikiana na polisi wa Urafiki kulimaliza swali hili kiana
Wazee wamemuomba IGP mwema kuingilia kati.
Source. Annur ya leo