Hizi ni sifa za mgombe uongozi wa ccm ktk ngazi yoyote
JAZIA AU KANUSHA ISIYOFAA
1.lazima uwe mtoto wa kigogo serikalini
2.uwe na charecter za wizi
3.uwe schooless/Hujaelimika
4.uwe mgonjwa ili ukapate matibabu india
5.uwe unakubali kila kitu kwa kusema ndiyo na kupiga makofi
JAZIA AU KANUSHA ISIYOFAA
1.lazima uwe mtoto wa kigogo serikalini
2.uwe na charecter za wizi
3.uwe schooless/Hujaelimika
4.uwe mgonjwa ili ukapate matibabu india
5.uwe unakubali kila kitu kwa kusema ndiyo na kupiga makofi