OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
kutokana na wananchi wa nzega kutokubaliana na kuenguliwa kwa mgombea wao aliyeongoza kura za maoni. mgombea waliompitisha Dr Hamisi Kigwangala ameshindwa kuanza kampeni hadi sasa kutokana na upinzani ndani ya chama chake. hadi sasa anahakiangaika kuwahamisha makatibu wa ccm wa chama na wa vijana akisema ndio wanampiga vita