Mkutano wa kampeni ndio umemalizika hapa Himo Makuyuni na mgombea wa CCM Crispin Meela ametangaza kuwa mgombea wa TLP amemfuata leo asubuhi na wamekubaliana kuwa mzee wa kiraracha hatagombea ubunge ila atamuunga mkono Meela duh!
Heeee.....siamini km kuna watz bado wanaendelea kumsikiliza mrema aliyefulia na sasa anapiga magoti kila siku kwa kikwete ali aonewe huruma japo ya ukatibu kata kable hajamaliza muda wake