Umeongea point nzuri sanaSijawai mwamini huyu jamaa
Kwa sababu ya kuwa zao la ccm
Walewale wakwapuaji na wenzie kawaacha huko wanaendelea kukwapua
Kwenye kwamba vipi asipokuwa raisDuuh hapo mwisho alivyomalza
Bado ni tapel huyoSijawai mwamini huyu jamaa
Kwa sababu ya kuwa zao la ccm
Walewale wakwapuaji na wenzie kawaacha huko wanaendelea kukwapua
Wachache ndio walimwelewa Lowassa aliposema akishindwa uchaguzi atakwenda kuchunga mifugo yake. Kadri siku zinavyoenda mifugo aliyoongelea inajidhihiri. Kawaida ya mifugo haipaswi kuhoji wala kuchagua pori la malisho.
Ninasikitika kusema ya kwamba CHADEMA kwa sasa hakuna kuhoji wala kuchagua. "Mchunga mifugo" anatumia fimbo na miluzi kutoa maelekezo ni pori gani wanapaswa kwenda kula, mifugo haina uchaguzi. Lengo hili lilishindwa kutimia akiwa CCM ila ndani ya CHADEMA kaweza "kuchunga mifugo atakavyo".
Nani anahoji matumizi ya pesa? Nani anahoji ziara zisizo na ukomo? Nani anahoji matumizi ya pesa yasiyo na tija? Ukijaribu utaambulia mijeledi. Huko Nyasa walitaka kuchagua lakini "mchunga mifugo" kawachagulia nao wamenyamaza, ama kweli mbuzi hachagui mchungaji bali mwenye mbuzi.
Shime wakati umefika kwa wanachadema kujiondoa kwenye minyororo ya utumwa, sasa ni aibu mitaani kwa mtu kujitambilisha kuwa ni mwanachadema.
Pilipili usiyoila yakuwashia nnWachache ndio walimwelewa Lowassa aliposema akishindwa uchaguzi atakwenda kuchunga mifugo yake. Kadri siku zinavyoenda mifugo aliyoongelea inajidhihiri. Kawaida ya mifugo haipaswi kuhoji wala kuchagua pori la malisho.
Ninasikitika kusema ya kwamba CHADEMA kwa sasa hakuna kuhoji wala kuchagua. "Mchunga mifugo" anatumia fimbo na miluzi kutoa maelekezo ni pori gani wanapaswa kwenda kula, mifugo haina uchaguzi. Lengo hili lilishindwa kutimia akiwa CCM ila ndani ya CHADEMA kaweza "kuchunga mifugo atakavyo".
Nani anahoji matumizi ya pesa? Nani anahoji ziara zisizo na ukomo? Nani anahoji matumizi ya pesa yasiyo na tija? Ukijaribu utaambulia mijeledi. Huko Nyasa walitaka kuchagua lakini "mchunga mifugo" kawachagulia nao wamenyamaza, ama kweli mbuzi hachagui mchungaji bali mwenye mbuzi.
Shime wakati umefika kwa wanachadema kujiondoa kwenye minyororo ya utumwa, sasa ni aibu mitaani kwa mtu kujitambilisha kuwa ni mwanachadema.
Mungu Mtu?Vipi nani ana ubavu wa kuhoji maamuzi yoyote yale ya mwenyekiti wa chama chetu pendwa????
Amina wewe wasemaMungu Mtu?
Pilipili usiyoila yakuwashia nn
Pilipili usiyoila yakuwashia nn
Ni kweli mkuu,uzi huu unakera.Huu uzi umekaa kinaa sana...umewashika pabaya....
Hayupo.. Na ndio maana akawaona kama mang'ombe ambayo yakihama chama yanakatwa mikia!Vipi nani ana ubavu wa kuhoji maamuzi yoyote yale ya mwenyekiti wa chama chetu pendwa????
Sababu ya kisayansi iliyogundulika kwa baadhi ya akina mama ambao wamekaa kwenye ndoa zao kwa miaka kadhaa bila kupata ujauzito ni kukutana kimwili na waume zao huku mawazo yao yote yako kwa mwanaume mwingine.Wachache ndio walimwelewa Lowassa aliposema akishindwa uchaguzi atakwenda kuchunga mifugo yake. Kadri siku zinavyoenda mifugo aliyoongelea inajidhihiri. Kawaida ya mifugo haipaswi kuhoji wala kuchagua pori la malisho.
Ninasikitika kusema ya kwamba CHADEMA kwa sasa hakuna kuhoji wala kuchagua. "Mchunga mifugo" anatumia fimbo na miluzi kutoa maelekezo ni pori gani wanapaswa kwenda kula, mifugo haina uchaguzi. Lengo hili lilishindwa kutimia akiwa CCM ila ndani ya CHADEMA kaweza "kuchunga mifugo atakavyo".
Nani anahoji matumizi ya pesa? Nani anahoji ziara zisizo na ukomo? Nani anahoji matumizi ya pesa yasiyo na tija? Ukijaribu utaambulia mijeledi. Huko Nyasa walitaka kuchagua lakini "mchunga mifugo" kawachagulia nao wamenyamaza, ama kweli mbuzi hachagui mchungaji bali mwenye mbuzi.
Shime wakati umefika kwa wanachadema kujiondoa kwenye minyororo ya utumwa, sasa ni aibu mitaani kwa mtu kujitambilisha kuwa ni mwanachadema.
umegonga kichwaniNi kweli mkuu,uzi huu unakera.