Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,516
- 65,170
Hata mimi huwa nakukwepa sana huku sababu ya ule undugu wetu wa Jangwani.Nifah, huku nakwepa kukujibu kila wakati. Nakusubiri kule ambako huwa tunaongea lugha moja dhidi ya mikia. Wasije wakanisikia wana mikia.
Kule nako nimeadimika sana,ngoja leo nitakuja.