Naaaam mkuu, mbabe ndio neno sahihi, ila nampenda kitu kimoja ni mjasiri na anajua kushawishi, isipokuwa ndio hivyo tenambabe?
Naaaam mkuu, mbabe ndio neno sahihi, ila nampenda kitu kimoja ni mjasiri na anajua kushawishi, isipokuwa ndio hivyo tena
amekamatwa saa ngapi? ni,emwona muda hu huu
Kuna mdau katutumia ujumbe kuwa Godfrey Lema ambaye ni mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la Arusha mjini yupo mikononi mwa polisi. Kisa na mkasa tutawafahamisha punde kwani anaendelea kufuatilia chanzo cha kukamatwa kwa bwana Lema
Isije ikawa watamtuhumu kuwa ndiye aliyetuma watu kumdunda Mama Batilda jana usiku.......katika kuchafuana vile.....................
Naaaam mkuu, mbabe ndio neno sahihi, ila nampenda kitu kimoja ni mjasiri na anajua kushawishi, isipokuwa ndio hivyo tena
Hiyo ilijulikana mapema sana wakuu... Batilda ana uhusiano wa karibu sana na Edward Ngoyayi Lowassa na kama mnavyofahamu EL RA na JK kwa pamoja wanaubia wa kumiliki dola... Lema anatakiwa afanye kazi za ziada maana hiyo ni rasha rasha tu mvua haijanyesha...
Huo ubabe unasabaibishwa na nini wakati vyombo vya dola vipo? Jiulize, kwa nini waliamua kkuvamia ofisi za TAKUKURU Arusha? Je, kwa nini aliamua kumkamata mgombea wa TLP aliyekuwa akitangaza kwa gari kuwa Wagombea wa vyama vya Upiznani wamejitoa na kumuunga mkono yeye wakati ni uongo? Polisi walikuwa wapi? Walichukua hatua gani wakati Polisi wenyewe wa Doria wapo mitaani, hata wale Trafiki wapo barabarani hata Mlalamikaji aamue kutoka alikokuwa na kuamua kumkamta?
Majibu yako yakupe clue kuwa Dola hapa ARUSHA ina-side na upande fulani au imeamua kumpuuza kitu ambacho ni hatari maana naye Lema ana watu wanoomuunga mkono.
Lema aliwakatalia offer walio mpa twalijua hilo na ndio maana nawambiaga huyo EL akae nae mkao wa kula mtoto wa sokoine akirudi ahamie kwa wameru wenzake huko. hata ukiuliza kwa watu wengi ndani ya CCM hawapendwi kabisa ni kuwa wanatumia pesa kuwarubuni na watu wenye njaaa huko ndani ya CCM