kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Source: Habari TBC1
Mgombea ubungwe kwa tiketi ya Chadema amefikishwa kwa tuhuma za kutishia kuua. Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ndio amefungua kesi hiyo akimtuhumu Lema kumtishia kumuua endapo atashindwa((Lema) kwenye uchaguzi.
Hivi kweli haki itatendeka jimbo hili?
Jamani haya mambo yanatoka wapi tena, Batilda ameanza hujuma, badala ya yeye kukamatwa kwa rushwa, amzushia zengwe Lema.
Mgombea ubungwe kwa tiketi ya Chadema amefikishwa kwa tuhuma za kutishia kuua. Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ndio amefungua kesi hiyo akimtuhumu Lema kumtishia kumuua endapo atashindwa((Lema) kwenye uchaguzi.
Hivi kweli haki itatendeka jimbo hili?
Jamani haya mambo yanatoka wapi tena, Batilda ameanza hujuma, badala ya yeye kukamatwa kwa rushwa, amzushia zengwe Lema.