dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
Da! kweli mwaka huu kitimtim.
niwape nyepesi? ( kabla sija wapa hebu ngoja niwaulize swali je inaruhusiwa kwa wagombea kuzunguka mashuleni na mahospitalini kuomba kura? nijibuni tafadhali).
mgombea ubunge kwa ticketi ya CCM musoma mjini ndg. VEDASTUS MANYINYI MATHAYO.
ana hali mbaya kisiasa, yeye na madiwani wake wa 'SISIEMU'
mh! kweli ukisikia kitimtim ndo hiki. jamaa hawalali, yani kampeni za jukwaani zimeshindikana ( hawapati watu) sa wanachokifanya sasa ni aibu. wanapita mahospitalini na kuwa kusanya wauguzi na kuwaweka chemba halafu wanawapa darasa unajua wanasemaje? " haya akina mama tumekuja kwanza kuwaona (sijui hapo kabla walikuwa wapi wasiende kuwaona)
then, wanawaomba wawapigie kampeni kwa wananchi " sasa jamani mnajua sisi ni serikali na serikali ni CCM sa tunawaomba muwe manawaambia wakinamama( wagonjwa) kwamba CCM (serikali) imefanya mambo makubwa si mnaona hata nyie? imeleta vyandarua na sasa inampango wa kunyunyizia dawa kwa ajili ya maleria. ili wajue wema wa SISIEMU kupitia vyandarua ILI WAICHAGUE CCM.
hawakuishia hapo wote na madiwani wao vuuuuuuuu mpaka kwa walimu wakuu shuleni. " samahani mkuu (du! leo mkuu) naomba kuonana na waalimu wako. wimbo ni ule ule.
unajua anaemchachafya huyo mng'ang'ania kiti hicho cha ubunge ni nani? ni MJUKUU WA NYERERE.
wa CHADEMA. jamaa ana seeeeeraaaa hana hela!
kweli kazi ipo.
USHAURI WANGU KWA WALIMU NA MANESI
msidanganyike nyie ni watu wazima hamfundishwi kusema.
niwape nyepesi? ( kabla sija wapa hebu ngoja niwaulize swali je inaruhusiwa kwa wagombea kuzunguka mashuleni na mahospitalini kuomba kura? nijibuni tafadhali).
mgombea ubunge kwa ticketi ya CCM musoma mjini ndg. VEDASTUS MANYINYI MATHAYO.
ana hali mbaya kisiasa, yeye na madiwani wake wa 'SISIEMU'
mh! kweli ukisikia kitimtim ndo hiki. jamaa hawalali, yani kampeni za jukwaani zimeshindikana ( hawapati watu) sa wanachokifanya sasa ni aibu. wanapita mahospitalini na kuwa kusanya wauguzi na kuwaweka chemba halafu wanawapa darasa unajua wanasemaje? " haya akina mama tumekuja kwanza kuwaona (sijui hapo kabla walikuwa wapi wasiende kuwaona)
then, wanawaomba wawapigie kampeni kwa wananchi " sasa jamani mnajua sisi ni serikali na serikali ni CCM sa tunawaomba muwe manawaambia wakinamama( wagonjwa) kwamba CCM (serikali) imefanya mambo makubwa si mnaona hata nyie? imeleta vyandarua na sasa inampango wa kunyunyizia dawa kwa ajili ya maleria. ili wajue wema wa SISIEMU kupitia vyandarua ILI WAICHAGUE CCM.
hawakuishia hapo wote na madiwani wao vuuuuuuuu mpaka kwa walimu wakuu shuleni. " samahani mkuu (du! leo mkuu) naomba kuonana na waalimu wako. wimbo ni ule ule.
unajua anaemchachafya huyo mng'ang'ania kiti hicho cha ubunge ni nani? ni MJUKUU WA NYERERE.
wa CHADEMA. jamaa ana seeeeeraaaa hana hela!
kweli kazi ipo.
USHAURI WANGU KWA WALIMU NA MANESI
msidanganyike nyie ni watu wazima hamfundishwi kusema.