Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
ITV imeripoti ya kuwa mgombea ubunge wa NCCR MAgeuzi ambaye alipitwa kaw kura takribani elfu moja na yule wa ccm aliingia mitini baada ya majumlisho ya pili ya kura na hivyo kugoma kusaini matokeo...............
Mgombea wa Chadema alikiri kuwa ameshindwa na kuangusha sahihi yake bila ya zengwe hata chembe.......................
mgawanyiko wa kura ni kama ifuatavyo........................
ccm.................................32, 777
nccr-mageuzi....................31, 635
chadema...........................6, 367
appt -maendeleo.......................90
Mgombea wa Chadema alikiri kuwa ameshindwa na kuangusha sahihi yake bila ya zengwe hata chembe.......................
mgawanyiko wa kura ni kama ifuatavyo........................
ccm.................................32, 777
nccr-mageuzi....................31, 635
chadema...........................6, 367
appt -maendeleo.......................90