- Thread starter
- #61
naona utofauti wa mawazo umeongezeka mno!
Unaposikia kuwa demokrasia imepanuka ni pamoja na ndani ya chama chetu
naona utofauti wa mawazo umeongezeka mno!
Kanunue gazeti mkuu unataka kutafuniwa kila kitu wewe
mkuu mbona hela ya kununua airtime unayokumbe mnauza gazeti.
mimi cna hela bana.
mtajeni huyo mgombea fasta.
nimemtizama hivi sasa tena katika u tube hajatoboa mkuuusijidanganye nenda kamchunguze tena.
Kosa halihalalishi kufanya kosa lingine
Naona mmekosa hoja mmeingia kwenye masikio . Kwani ubunge unaongozwa na masikio ? Acheni kuongea ujinga kama mnakunywa komoni . Alaah !!!
Uongozi ni pamoja na kuwa na maadili mema hasa yanayoendana na jamii unayoiongoza. Huwezi kuwa imamu au mchungaji ukapanda kwenye kibweta na bukta kwa kisingizio cha kwani bukta ndio imamu au mchungaji.Kwani hiyo nayo ni shida? Atakayefanyakazi na wananchi jimboni ni mbunge na sio sikio lake. Watu mnapenda kujadili mambo ya k.i.j.i.n.g.a!
Makupa siku hizi unabusara sana, au ni kipindi hichi cha joto, usije badilika tabia mvua zikianza
Uongozi ni pamoja na kuwa na maadili mema hasa yanayoendana na jamii unayoiongoza. Huwezi kuwa imamu au mchungaji ukapanda kwenye kibweta na bukta kwa kisingizio cha kwani bukta ndio imamu.
Kwa Tanzania mwanamme kutoboa sikio ni kitu cha ajabu si maadili yetu hata mtetee vipi. Yeye katoboa sikio moja kwa ajili ya kuweka hereni, si kama utamaduni wa kimasai unaojulikana. Nasikia kaishi Uingereza, tunajua utamaduni wa huko, vijana wengi wanaotoboa kwa ajili ya ubishoo, lakini nilisikia wengine wana maana zao nyingi mbaya, wanapotoboa say sikio la kushoto wanajitambulisha kuwa wao ni watu wanaotumia kitu fulani, kwa hiyo inakuwa rahisi kujua huyu ni mwenzetu wanapokutana.
usingeandika hereni ningekushangaa. Jamaa anatembea barabarani mwendo mdundo huku anarusha mikono, mara anashika flaiz utadhani kama ana rap vile, na hereni imening'inia sikioni yaana raha burudani mustarehe!
Makupa siku hizi unabusara sana, au ni kipindi hichi cha joto, usije badilika tabia mvua zikianza
Ana umri gani huyo mtu?
mbona msimwambie kinega mwenzenu sugu ? Au yeye haimuhusu ?
mbona msimwambie kinega mwenzenu sugu ? Au yeye haimuhusu ?
Makupa siku hizi unabusara sana, au ni kipindi hichi cha joto, usije badilika tabia mvua zikianza
mbona msimwambie kinega mwenzenu sugu ? Au yeye haimuhusu ?
hivi Banana Zoro chama gani?
tizama hapa...au na yeye alifanya sajari ya kuziba!! Sugu_Interviwe Part_1.flv - YouTubeusijidanganye nenda kamchunguze tena.
Nani kakuambia sugu katoboa sikio wewe?mbona unakua mdandiaji na mpayukaji bila ushahi?
hivi Banana Zoro chama gani?