Huyu kwanza nani angempa ubunge?? Ukuu wa shule umemshinda na shule inaelekea kufa
kwangu mimi namwona kama ni mtu mwenye tamaa sana,kama yupo serious na mapambano chadema itafanya naye kazi
daah, inatia huruma sana, Magamba hayana huruma wala hofu ya mungu!
kavuna alichopanda
Ndo changamoto za dunia askate tamaa
kwangu mimi namwona kama ni mtu mwenye tamaa sana,kama yupo serious na mapambano chadema itafanya naye kazi