Elections 2010 Mgombea Mwenza wa urais wa CHADEMA yuko hapa!

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.

taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!


CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA

PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER



 
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.

taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!


CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA

PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER




el crapiso!
 
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.

taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!


CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA

PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER

Imenibidi nijizuie kucheka,Mkuu kwanini usiipeleke kwenye joke !.
 
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.

taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!


CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA

PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER

Huyu amejiunga JF kumpigia kura JK kwenye poll, sasa hana la kufanya hivyo anapayuka tu!
 
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.

taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!


CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA

PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER




Sijakulewa kuna alama za mafumbo wakati wa kutufikishia habari hii. Wakati mwingine ni vizuri kuwa muwazi zaidi.......... watu tunatofautiana kuelewa haraka, ubongo na kichwa havina uwiano lakini tupo hapa JF. Tumia lugha rahisi na nyepesi ili hata tusioelewa haraka tuweze kuchangia.
 
duh! ina maana mgombea mwenza hajui kiingeretha? hahaa! huu utani huu,si hata wachaga wakike huwa wanachaguliwa wabunge wa viti maalum eti wamesoma kuliko wenzao sasa hapa vipi? aaah,nimekumbuka! walitaka kumuazima yule kiongozi wa kambi ya upingaji bungeni the full bright akawatolea nje! yaani hawana chama katika jamhuri bali moshi pekee halafu wanataka "inji"
 
kama angevalishwa mawani ya jua angalifanana na mgombea mwenza wa El madras Hon. Dr Chakachua, Kiherehere

Ustaarabu ni kitu cha bure Waungwana!....Matusi na kejeli hizi sio kiwango chetu hapa,hizi siasa za majitaka tusizipe nafasi.....kiwango chetu cha ustaarabu tunakipunguza kwa mambo kama haya,hapa mahali pataonekana kama kijiwe cha wavuta bangi kwa mabandiko ya namna hii.Pamoja na tofauti zetu za kiitikadi,lakini sote ni Watanzania.Nchi yetu tuiendeshe pamoja bila kujali Itikadi za vyama vyetu.Tofauti zetu ni ndogo kuliko matatizo yanayotukabili.
 
ukikiona kiti,akili yako ikatambua kuwa hiki ni kiti basi na wewe ushakuwa kiti,hahahaaaaaaaaa!!
 
Back
Top Bottom