Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na tunafahamiana japo hatuna mazoea ya ukaribu wa kupindukia.
taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!
CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA
PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER
taarifa ya kwanza nliyoipata toka kwa mmoja wa wanafamilia wake aliniambia mzee yupo MWALAS (MWANAKWEREKWE LANGUAGE SCHOOL),Nikaauliza swali la pili je anafanya nini pale?? kwa wanaoijua MWALAS pale kuna shughuli nyingi,kwani jamaa wanafundisha lugha mbalimbali,computer,driving nk.na pale nje kuna shughuli ya uoshaji magari,nikajibiwa ya kuwa si unajua mzee anaweza kuwa vice president?? xo yuko pale anajifua!!!!
CHADEMAAAAAAAAAAAA!!
WATU: VEMAAAAAAAAAAAAAA
PEOPLEEEEEEEES
WATU: POWEEEEEEEEEEEEER