pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,593
- 2,978
Vyama vya vyetu vya upinzani vingejifunza kutoka Uganda ambako vyama vyote vya upinzani vimechuana na kumpata mgombea wao wa pamoja wa nafasi ya urais. Hivyo mgombea wa chama tawala anapambana na mgombea mmoja anayeungwa na vyama vyote vya upinzani. Hii nimeipata kwenya taarifa ITV. Au mnaonaje wana JF?