George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu wana JF,
Kuna Tetesi nilikwisha wahi kuzisikia mda mrefu kuwa mgombea huyu wa ccm jimbo la ilala alikuwa DRUG LORD miaka mingi ya nyuma na alikwisha wahi kufungwa nchini ITALY, Ukitembelea vijiwe vyake pale kariakoo mtaa wa ndanda unaweza kuzipata hizi habari hususani kwenye kwa wauza mataili wa pale mtaa wa ndanda opposite na ofisi ya ccm ambapo kulikuwa na nyumba ya Mzee Paul Rupia ambayo Mwl Nyerere alikwisha wahi kuishi wakati wa mapambano ya uhuru.
Tunaomba watu waliopo hapo Dar wajaribu kufatilia hili swala, na watujuze zaidi, Na kama kuna mgombea yoyote wa upinzani tumpige tafu, kwanini mkoa wa Dar Es laam unakubali kuongozwa na wabunge wa aina hii? hata kama kuna mgombea wa CUF tuhakikishe tumpigie chapuo.
Nawakilisha hoja waungwana.
Kuna Tetesi nilikwisha wahi kuzisikia mda mrefu kuwa mgombea huyu wa ccm jimbo la ilala alikuwa DRUG LORD miaka mingi ya nyuma na alikwisha wahi kufungwa nchini ITALY, Ukitembelea vijiwe vyake pale kariakoo mtaa wa ndanda unaweza kuzipata hizi habari hususani kwenye kwa wauza mataili wa pale mtaa wa ndanda opposite na ofisi ya ccm ambapo kulikuwa na nyumba ya Mzee Paul Rupia ambayo Mwl Nyerere alikwisha wahi kuishi wakati wa mapambano ya uhuru.
Tunaomba watu waliopo hapo Dar wajaribu kufatilia hili swala, na watujuze zaidi, Na kama kuna mgombea yoyote wa upinzani tumpige tafu, kwanini mkoa wa Dar Es laam unakubali kuongozwa na wabunge wa aina hii? hata kama kuna mgombea wa CUF tuhakikishe tumpigie chapuo.
Nawakilisha hoja waungwana.