Mgombea binafsi Tanzania: Tatizo ni nini?

Mgombea huru na mgombea binafsi, sioni tofauti yoyote.....labda tuwasubiri wajuzi wa lugha watufafanulie.
 
Mgombea huru na Mgombea binafsi ni kitu kilekile ispokuwa neno zuri zaidi ni mgombea huru ikiwa na maana hayuko under the control of any body or any party for that matter. connotative meaning ya neno binafsi inaweza kwenda mmbali zaidi. lakini hili likiwekwa rasmi kisheria na kupewa tafsiri kisheria lolote lafaa
 
nakubaliana na wewe kisheria nadhani ni maneno mawili tofauti, ngoja tuone wadau wakitiririka
Mgombea huru na Mgombea binafsi ni kitu kilekile ispokuwa neno zuri zaidi ni mgombea huru ikiwa na maana hayuko under the control of any body or any party for that matter. connotative meaning ya neno binafsi inaweza kwenda mmbali zaidi. lakini hili likiwekwa rasmi kisheria na kupewa tafsiri kisheria lolote lafaa
 
Kwa uelewa wangu

HURU -ni kutofungamana na upande wowote
BINAFSI- kwa ajili yako/ pekee yako(wewe tu)

Hivyo basi mgombea huru ni yule ambaye hana chama cha siasa yaani si mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Mgombea binafsi ni mwanachama wa chama cha siasa lakini akaamua kugombea kama mgombea binafsi bila kutumwa na chama chake mara baada ya kukosa ridhaa ya kuwakilisha chama chake (akajitegemea kwa hali na mali)
 
Mkuu Amavubi,Mahakama ya Rufani ya Tanzania(katika kesi ya mwaka 2011 kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mchungaji Christopher Mtikila) ilisema kuwa ni vyema aitwe Mgombea Huru(Independent Candidate) na si Mgombea Binafsi(Private Candidate). Hoja ilikuwa ni kuwa 'Binafsi' husikika kama itakayowafanya viongozi watakaopatikana kwa jinsi hiyo kuwa na viburi vya kiutawala nk
 
Last edited by a moderator:
mkuu amavubi,mahakama ya rufani ya tanzania(katika kesi ya mwaka 2011 kati ya mwanasheria mkuu wa serikali na mchungaji christopher mtikila) ilisema kuwa ni vyema aitwe mgombea huru(independent candidate) na si mgombea binafsi(private candidate). Hoja ilikuwa ni kuwa 'binafsi' husikika kama itakayowafanya viongozi watakaopatikana kwa jinsi hiyo kuwa na viburi vya kiutawala nk
hii nimeipoenda sana maana ina rejea nzuri
 
Nadhani kisheria "huru" na "binafsi" haiwezi kuwa sawa. Maneno hayo mawili yanahitaji tafsiri pana zaidi ya kuwa tu misamiati ya lugha ya kiswahili.
 
Nadhani kisheria "huru" na "binafsi" haiwezi kuwa sawa. Maneno hayo mawili yanahitaji tafsiri pana zaidi ya kuwa tu misamiati ya lugha ya kiswahili.
Namkumbuka Glanvile William anasema Language is a principle tool to any lawyer's trade
 
na hii ya Independent Cnadidate mkuu?

hiyo umeleta mwenyewe mkuu...independet candidate inaweza kuwa na maana kuwa mgombea anajitegemea katika kila jambo kuanzia KAMPENI , USAFIRI na MENGINE YOOTE ya uchaguzi ila anweza kuwa bado yuko chini ya chama...........
 
hiyo umeleta mwenyewe mkuu...independet candidate inaweza kuwa na maana kuwa mgombea anajitegemea katika kila jambo kuanzia KAMPENI , USAFIRI na MENGINE YOOTE ya uchaguzi ila anweza kuwa bado yuko chini ya chama...........
In politics, an independent or non-party politician is an individual NOT affiliated to any political party. Independents may hold a centrist viewpoint between those of major political parties, or they may have a viewpoint based on issues that they do not feel that any major party addresses.

Other independent candidates are associated with a political party and may be former members of it, but choose not to stand under its label. A third category of independents are those who may belong to or support a political party but believe they should not formally represent it and thus be subject to its policies. Finally, some independent candidates may form a political party for the purposes of running for public office.

Hapa nimelazimika ku-google ingawa unaweza usi trust siurce sana na pia huenda mahali nilipotohoa wanamfumo tofauti na wa kwetu
 
SIMBA Makoni has announced repeatedly that he is an independent candidate in the March 29 elections but it appears that some people, including a huge section of the media, does not seem to grasp the concept.The media has tended to create more confusion because they have also failed to realise that independent candidates can still be supported by some political parties but that support does not necessarily translate into an alliance.Zanu PF card holders can vote for an MDC candidate.

The MDC Tsvangirai formation have not challenged Jonathan Moyo; it does not necessarily mean that Moyo is no longer an independent candidate, so why this confusion with Makoni when he insists he is an independent candidate?My suspicion is that, while there are some people who are genuinely unaware of what it means to be an independent candidate, there are some who would like to portray Makoni as someone who is not sincere, in this case to Mutambara’s MDC after they endorsed Makoni.

It does not even mean that these people who are against Makoni like Mutambara’s MDC either, they are the same who have fielded candidates in every constituency where the Mutambara MDC formation has a strong chance of winning. Makoni told the Standard: “I am an independent candidate.

How can you be an independent and have an alliance at the same time? I don’t have to be in an alliance (with political parties). I am with the people and for the people.â€The Mutambara MDC formation have not issued further statements on Makoni’s candidature because as far as they know he is an independent candidate, and one would think that this is common sense, but not to some sections of the media.

While the term independent candidate is self-explanatory, the concept of being independent has eluded some people and it should be explained.I have relied generously on the Wikipedia, the free encyclopedia which states the obvious. In politics, an independent is a politician who is not affiliated with any political party.

In countries with a two-party system, independents may hold a centrist viewpoint between the two parties, they may hold an extremist viewpoint that goes beyond that of either major parties, or they may have a viewpoint based on issues that they don’t feel either party addresses.Not only do we have independent candidates; we also have independent voters. Being a card carrying member does not mean that you vote the party whose card you carry or whose rally you attend.

No! Many people did not attend and do not attend rallies probably because they know already what is going to be said or because they are tired of slogans and they have made up their minds already whom they will vote for.

Where I come from in the Midlands, it was always wise to have cards for both Zanu PF and PF Zapu during the Gukurahundi era and it was also important and adaptive to speak both Ndebele and Shona and play ball with whoever called the shots.Even to this day, the clever ones in some politically volatile parts of Zimbabwe have dual political identities (MDC and Zanu PF).

Â
The Wikipedia defines an independent voter… as a voter who votes for candidates and issues rather than on the basis of a political ideology or partisanship; a voter who does not have long-standing loyalty to, or identification with, a political party; a voter who does not usually vote for the same political party from election to election; or a voter who self-describes as an independent.Being an independent candidate does not mean that you have no friends or sympathisers, it simply means friends are not relatives; it is called de-alignment and it is a strategy which might be an option in a country like Zimbabwe which is so polarised.

Â
De-alignment leads to the rise of candidate-centered elections in which parties and ideologies play little part.Without parties, candidates rely ever-more heavily on mass media for communication, political action committees for funds, special interest groups for staff, and political consultants for expertise.

Â
If elected to power, Makoni is quoted as saying that he would form a government of national unity which he preferred to call the “National Authorityâ€, which would spearhead national re-engagement. He says he will look in the legislature for the best from the MDC, Zanu PF, independents and people from other smaller parties to be in government.

Â
Apart from the unnecessary confusion being created by conspiracy theorists who are usual suspects trying to discredit Makoni, he appears to be working for national unity and is ready to embrace everyone.Zimbabwe does not need a party that claims to have all solutions by itself, especially with people who have no experience of running anything successfully. Makoni’s independent candidacy provides a political centre ground for those people fed up with political extremism.
 
Nyingine hiyo nimeendelea kupakua , samahani kwa kuwa nimeipakua yote hapa
 
Asigwa si kama nitaka kubisha sana lakini lengo langu ni kupata uelewa zaidi huneda na kwa wengine pia, wana sayanzi ya jamii wanasema kuna njia kuu mbili za kujua.
  1. Kuuliza sana maswali
  2. Kubisha
 
Wadau mimi naona mgombea binafsi anaweza kufaa kuliko hivi vyama vya siasa ambapo viongozi wengi wamejawa na unafiki hawawezi kusimamia haki za Watanzania na kuzilinda raslimali za taifa,siamini kama kuna chama chenye watu wenye nia ya kweli na ya kuikomboa Tanzania na ujinga na umaskini na maradhi.
 
Mzuzu,
Flash back 2008. Je serikali iliheshimu maamuzi ya mahakama kuhusu mgombea binafsi? Fast forward now. je serikali itaheshimu maamuzi ya mahakama kuhusu mchakato haram wa katiba ?
 
Back
Top Bottom