Elections 2010 Mgombea auza jimbo kwa Euro 1,000

Aliyekuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Musoma Vijijini, Michael Makenji, anashikiwa na Takukuru kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Euro 1,000 (Sh. 1,850,000) kisha kujitoa katika kinyang’anyiro hicho.

Soma HAPA kwa habari zaidi.

My take: Kama tuhuma hizi ni za kweli na ikathibitika kweli amepokea kama alivyokiri mwenyewe tena kwa maandishi, Je mgombea aliyetoa hiyo rushwa ataruhusiwa kuendelea na kampeni.

Mkuu hili n jimbo kati ya yale kumi tuliyoyakosa? Au ni jipya tena?
 
Bado Dr. Slaa kujitoa.

dubo
user-online.png
Join Date Mon Aug 2010
Posts 67
Thanks : 9
Thanked 7 Times in 6 Posts
Rep Power21
 
Vyama vya upinzani wategemee kupoteza majimbo zaidi ya uchaguzi kama havitokua
makini.Sababu kubwa ni kuchelewa kupata nakala za fomu ya gharama za uchaguzi.
Kuna wagombea wengine kama hawatosaidiwa kujaza hizo fomu basi watafanya makosa
ambayo yatawafanya waondolewe kwenye kugombea, hasa kipengele cha source of funds

CCM wao wamemaliza hiyo kazi muda mrefu tu wanasubiri Msajili aanze zoezi lake la
kuweka pingamizi ili wao wapite bila ya kupingwa.

Waache kulalamika waingie kazini bila ya hivyo Bunge linalokuja halitokuwa na Upinzani.
 
poor makanja!
pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu bado ni mbumbumbu.Njaa gani hizo hadi unauza utu?
 
Wakuu naomba msaada wa wapi naweza kupata ilani ya CCM na CHADEMA.
Ofisi za CCM makao makuu zipo mtaa wa Lumumba ukifika hapo we ulizia kama Makamba yupo msalimie sana ni mshikaji wangu na ofisi za Chadema zipo Kinondoni mtaa wa Ufipa namba ya nyumba ndio sikumbuki msalimie sana Lissu mwambie tusisahauliane, thanx see u next.
 
IMG_9371.JPG


Huyu ni yule mwenyekiti wa Chadema akihutubia nyasi baada ya kukisaliti chama na kujiunga na vyama 12 hapa alikuwa nazindua kampeni lakini matokeo yake hata watu 100 hawakufika siku ya uzinduzi, na inasemekana sasa hivi ana gari jipya anatembelea sijui kapewa takrima tunaomba TAKUKURU wafike hapo Iringa wamchunguze huyu mwenyekiti za zamani wa chadema.
Huyu jamaa namjua anaitwa Ben Kapwani, mara nyingi hujiita Dr. Kapwani. Ni RMA (Mganga Msaidizi Viijijini) mzoefu na hapendi hili lijulikane, mtaalam wa kughushi. Nahisi wanaomjua wamemwambia ukirudisha fomu tunaweka pingamizi la wasifu wako na hautopita, la sivyo chukua chako mapema. The issue was so delicate to him. CHADEMA fanyeni screening kujua wanaopata uongozi wana sifa stahiki. Poleni wana isimani, subirini wakati ujao chama kitawatafutia mbadala
 
Back
Top Bottom