Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Aliyekuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Musoma Vijijini, Michael Makenji, anashikiwa na Takukuru kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Euro 1,000 (Sh. 1,850,000) kisha kujitoa katika kinyanganyiro hicho.
Soma HAPA kwa habari zaidi.
My take: Kama tuhuma hizi ni za kweli na ikathibitika kweli amepokea kama alivyokiri mwenyewe tena kwa maandishi, Je mgombea aliyetoa hiyo rushwa ataruhusiwa kuendelea na kampeni.
Mkuu hili n jimbo kati ya yale kumi tuliyoyakosa? Au ni jipya tena?