kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Malawi kupigana na TZ is like mjusi kupigana na ,mamba, sasa hawa mijusi siku hizi kama wameanza kupammbana na mamba shauri yao. halafu huyu mama hajui kikwete ni mjeshi na jamaa wanapenda vita sana, hivi karibuni tulikuwa commoro, tukapigain two hrs, mtz mmoja akafa kwa ajali ya kudumbukia kwenye maji siyo bullet, sasa kwa yale ya uganda na ukizingatia wakubwa ni marafiki hasa US sijui malawi inakuwa wapi, very risky saa hizi kufikiria vita kwa malawi wakijua na rais mwenyewe mwanajeshi.