jamani kuna mgogoro wa uongozi na wakufunzi wa chuo cha ustawi wa jamii kijitonyama,mgogoro ulianza siku nyingi mpaka pro Rwegoshora akaondolewa,sasa nauliza wahusika mgogoro huu utaisha lini? maana una adhari kubwa sana kwa wanafunzi na taifa kwa ujumla,chuo kilisogeza muda wa kufungua muhula wa pili hivyo wale wote walikuwa wamalize mwezi wa 7 ikawa watamaliza mwezi wa 9, hivi hizo nyongeza za kodi za vyumba na chakula wanafunzi watazitoa wapi? wako wapi viongozi wasaidie hili?