Mgogoro wa matumizi ya maji mto Nile wachukua sura mpya

Jambo la msingi ni kukaa mezani tu kama wadau wa mto nile. Nchi zote zenye vyanzo vya mto huu na wanaonufaika nao hadi mkiani washirikiane na waweke mipango shirikishi ya matumizi ya mto huu muhimu kwa masiha ya mamilioni ya watu. Sio uchaguzi wa Tanzania kuwa chanzo cha mto huu na wala sio wa misri kuwa mkiani mwa mto huu. Lakini pia sio haki ya misri kujimilikisha mto huu kwa mkataba wa kikoloni. Kulikuwa na umuhimu wa kudai uhuru ili tujipangie mambo yetu, ikiwa ni pamoja na maji. Ni wajibu wa nchi zotekushiriki katika kijipangia matumizi ya maji haya zote zikiwa kama mataifa huru.
Kwa vita hakuna atakayeshinda ila misri itajutia uamuzi wake kwa miaka mingi ijayo kama wakihamua kuingia vitani. By the way, watu wote wanaopigana mwishon huishia kwenye meza ya majadiliano, why not start with meza ya majadiliano?
 
Jambo la msingi ni kukaa mezani tu kama wadau wa mto nile. Nchi zote zenye vyanzo vya mto huu na wanaonufaika nao hadi mkiani washirikiane na waweke mipango shirikishi ya matumizi ya mto huu muhimu kwa masiha ya mamilioni ya watu. Sio uchaguzi wa Tanzania kuwa chanzo cha mto huu na wala sio wa misri kuwa mkiani mwa mto huu. Lakini pia sio haki ya misri kujimilikisha mto huu kwa mkataba wa kikoloni. Kulikuwa na umuhimu wa kudai uhuru ili tujipangie mambo yetu, ikiwa ni pamoja na maji. Ni wajibu wa nchi zotekushiriki katika kijipangia matumizi ya maji haya zote zikiwa kama mataifa huru.
Kwa vita hakuna atakayeshinda ila misri itajutia uamuzi wake kwa miaka mingi ijayo kama wakihamua kuingia vitani. By the way, watu wote wanaopigana mwishon huishia kwenye meza ya majadiliano, why not start with meza ya majadiliano?

tumeshakaa hivyo kwa miaka zaidi ya kumi sasa. watunzaji wa mito na ziwa ni sisi kwa hela yetu, tunaopanda miti ili mazingira yaendelee kuwa bora mvua inyeshe kujaza mito na ziwa ni sisi kwa hela yetu, tunalinda na kuhakikisha ubora na safety ya ziwa ni sisi, kila kitu tunawafanyia wamisri ili waweke kilimo bora kule kwao...tunao uwezo wa kuwapiga vita hata bila kurusha risasi, just kwa kuacha kulitunza ziwa au mito tu, kuacha kupanda miti tu, au kusupply maji ya mito mdogomidogo yote iingie kwa wananchi,

meza ya majadiliano haina maana tena, kwasababu tunajua tayari msimamo wao...ambao hawatakuja kuubadili...the problem ni kwamba, wanatupiga mkwara, hivyo sisi tunaonekana kama vinyangarika, mabwege, waoga....kama wangekuja kama ndugu na rafiki, mbona sisi pia ni binadamu wajameni, tungewafikiria wenzetu kwasababu hawana sehemu ingine kupata maji....lakini wanatutisha ati watatupiga, watatupigaaaa?
 
kati ya vitu ambavyo tunahitaji kusikia sauti kutoka ikulu juu ya hili, hii ni mojawapo, tunahitaji mkwere atoa opinion yake akiwawakilisha watz, kama hafanyi hivyo, silence means cowardice au?
 
Back
Top Bottom