Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau, ningependa kufahamu ni utatuzi upi umefikiwa na Askofu mkuu wa kanisa la Kilutheri dhidi ya mgogoro ule wa Dayosisi ya Pare ambapo wenyewe wale wa Upareni walitaka waundiwe dayosisi yao n watenganishwe na Same kwa sababu wanawanyonya...
Je, wametenganishwa?
Aksanteni....
Je, wametenganishwa?
Aksanteni....