Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

Mkuu Kukutia Ole.

Mkuu wangu bandiko lako limenifurahisha hakika JF inakosa magreat thinker kama wewe.Mleta hoja kaeleza vizuri badala ya kujibiwa kaishia kuambulia kebehi kwakuwa kaleta habari zisizopendwa kusomwa/kusikiwa na wanajamvi wengi.

Yalikuwa ni makosa makubwa sana kutendwa na Bwana Nassari na wote walioshiriki kuchangisha fedha kwaajili ya kampeni wakati chama kikiwa katika mchakato wa kumtafuta mgombea.Ni kweli Bwana Nassari ana nguvu kuliko wagombea wengine lakini hiyo haimpi haki ya kuchangisha fedha kabla hajateuliwa na chama chake.Pamoja na makosa yalifanywa bado hakuna dalili za mgogoro kwakuwa wanachama waliokandamizwa hawana nguvu/mvuto mkubwa katika jamii sana sana wanaweza kutumika.

CDM makao makuu ni vyema wakaweka utaratibu ili hali kama hii isitokee tena.Walioshiriki kuchangisha fedha kabla ya mchakato wa uchaguzi ndani ya chama haujakamilika wapewe karipio kali.

Heshima kwako Mkuu Ngongo.
Tatizo Pro-Chadema JF hawataki kukosolewa hawajui kama ukitaka kusonga mbele lazima ukubali kukosolewa.
 
Watamalizana wenyewe kwa wenyewe na mwisho wa siku matokeo yanakuwa kama yalivyokuwa Igunga na Uzini!
 
kama imewauma na wao waitishe harambee,sasa watakapozuiliwa ndo kuna mgogoro lkni mbali na hapo sijauona mgogoro zaidi ya umbea uliokubuhu au ni m.a.gam.ba at their daily work.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF ndio ili, badala ya kujibu hoja wanaleta porojo kwenye mambo ya msingi.


Mbona migogoro ya CCM, NCCR Mageuzi, CUF, mnaijadili kwa kasi ya ajabu, kubalini ukweli Arumeru kuna mgogoro.

Migogoro katika jamii si tatizo, suala ni uzito wa hoja inayosababisha mgogoro. Kwa mtazamo wangu, unachokiita 'mgogoro ndani ya chadema arumeru' ni suala la kutengeneza ili kufurahisha nafsi yako na wenye mtazamo kama wako kiitikadi. Kila mtu ana haki ya kutafuta rasilimali zitakazo muwezesha kugombea. Hao wengine pia wanaweza kuitisha harambee wakati wowote wakiona inafaa kufanya hivyo, na pia wanahaki ya kumualika kiongozi yeyote wa CDM taifa. Kama hawakufanya hivyo ni hiari yao, labda kama walijaribu kuitisha harambee wakazuiwa na viongozi wa CDM waseme na wathibitishe ili sasa tuanze kujadili hoja hiyo.

Arumeru tunajua uwezo wa Nassari, alifanya vizuri uchaguzi uliopita na wananchi wengi wa jimbo la Arumeru mashariki wanamwamini na wako tayari kumuunga mkono. Nafahamu kuwa kule Mbuguni wako watu waliojitolea kuhakikisha kampeni za mgombea wa CDM zinafanikiwa kwa kutoa muda na rasilimali zingine. Kwao wanaamini mgombea sahihi wa kupeperusha bendera ya CDM ni Nassari.

Ccm jiandaeni taratibu kuwa chama pinzani. Msiwe na shingo ngumu, wananchi wanaendelea kuwakataa. Watu wa Arumeru hawatarudia makosa wakati huu.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.
FLASHasinkingboat.gif
 
wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea chadema wilayani arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, joshua nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha arusha alipata takribani sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na lema.

Wafuasi wa chadema waliochukuwa fomu mbali na nassari, ni goodlove temba, yohane kimuto, rebbeca mugwisha, samwel shami sanjari na anna mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao nassari.

facebook tafadhali...mrs ritz
 
JF thinker never buy utumbo like this
try again later

Trashed:photo::photo::photo::photo::photo::photo::A S-coffee::A S-coffee:

Mkuu hii habari imeandikwa na Mwananchi sijui kwanini povu linakutoka bure.Habari za Bwana Nassari kuchangisha fedha tulizisikia wote tena wengine humu jamvini walitoa ahadi ya kibao leo gazeti limefichua kwamba Nassari kabla hajapitishwa na chama chake tayari alishavuta fedha kibao kupitia harambee unadhani washindani wenzake ndani ya chama wametendewa haki ?.


Chanzo tafadhari.

Mwananchi.

Sasa kama hawapewi ushirikiano ndani ya chama na wao wamekwishaona hilo wanasubiri nini kwa mfano?????

Hivi wakishaanza kuwaza ubunge akili huwa hazichambui mambo kwa uyakinifu????

Kusoma hawajui may be.......na picha pia hawaoni???

Mkuu wangu hawakutendewa haki wana haki ya kulalamika hii ni sehemu ya demokrasia ambayo imo ndani ya katiba ya JMT.Ulitaka wakandamizwe halafu wanyamaze ?.

me nmesoma pia gazeti la mwananchi tar 26 hii habari ipo pia. lakini mtoa mada naye aseme kama ameipata wp

Wewe umeiona Mwananchi lakini bado haujaridhika unataka mleta asema alikoipata ha ha ha ha,sema haujaipenda habari yenyewe.

Wewe ni mnafiki sana

Habari za kuchangisha fedha Bwana Nassari kila mtu anajua ni kweli.Habari kwamba mchakato wa uchaguzi ndani ya cha CDM ulikuwa bado haujakamilika kila mtu anajua.Sasa naomba unijuze mnafiki ni nani kati yako wewe na ritz ?.

Masaburi at work. Nani kawazuia na wao kuchangisha! Ni mgogoro ambao hata wao wenyewe hawaujui ni kitu inataka kutengenezwa na CCM lakini haitafanikiwa. Chadema ni Chama Makini.

Amiliki, chama makini ni chama kinachotii sheria na kufuata taratibu na kanuni.Mtu makini na jasiri ni yule anayekubali makosa na kuyasahihisha na si kupindisha kama wewe unavyojitahidi.


Mkuu hizi habari nimekua nazisikia kwamba Nasari anabebwa na CDM Taifa. Kuna haja uongozi taifa,mkoa na wilaya wakutane haraka na kuondoa tofauti zinazoanza kujitokeza. Kadri CDM inavyopata umarufu migongano kama hii itajitokeza sana. Uongozi ngazi zote wawe tayari kutumia
busara kumaliza tofauti kama hizi.

Kama CDM taifa wamefikia hatua ya kumbeba mtu ambaye ana uwezo wa kujibeba mwenyewe siku ikitokea wakambeba mtu asiyebebeka ?.Nadhani ifike mahali CDM wafuate sheria,kanuni na taratibu ambazo nina hakika zipo isipokuwa zimewekwa pembeni.


Naona suala la uraia limekwisha sasa Ritz aka Yasoda aamua kuhamia issues za chadema:photo:

Suala la uraia wa mgombea wa CCM limeingiaje hapa au ndiyo sehemu ya utetezi ha ha ha ha.

Na mleta uzi unaoneka una asili ya umbea,majungu,ushambenga,unoko,usengenyaji,nk...ati mgogoro mkubwa,nani kakwambia bwana? Acha kuleta tabia zako za ajabu hapa.

Mleta mada hana hizo tabia kabisa,sema kaleta habari usiyoipenda pengine hii ni sababu tosha ya kumbandika majina mabovu.


ao waliochukua fomu wawe na hekima kijana nasari aldhubutu 2010 na bado anania njema ao waliofunguka muda uhu watulize mzukax wamwache chali wetu akapambane.kama na wenyewe wana jeuri waitishe haraaambeeee.


Nassari alisthubutu mwaka 2010 sawa lakini afuate taratibu za chama.
 
Kama mtu umeamua kuingia kwenye kuomba fursa ya kugombea ubunge moja ni pamoja na kujiandaa,kujipima upepo kama kuna watu watakuunga mkono ikiwemo hata kuitisha harambee,si kosa kabisa alifanya vizuri,kama atapitishwa tayari atakuwa na mtaji wa kujiwezesha kufika maeneo mbalimbali
 
Magamba bwana! kuongea na mtu mmoja tu tayari eti MGOGORO MKUBWA! hv ni lini tutabadilika wajameni? Ndio maana itatuchukua muda mrefu to move kwasababu ya kuchukua muda mrefu kuchunguza vitu visivyo na msingi
 
Si vyema kutangaza ushindi kabla ya mpambano,Nassari kama mgombea ni vyema akavuta subira ili mchakato wa ndani ya chama ukamilike na demokrasia ya kweli itawale,vinginevyo ya magamba yaweza pia kuibukia pia CDM
 
Si vyema kutangaza ushindi kabla ya mpambano,Nassari kama mgombea ni vyema akavuta subira ili mchakato wa ndani ya chama ukamilike na demokrasia ya kweli itawale,vinginevyo ya magamba yaweza pia kuibukia pia CDM
 

Mkuu hii habari imeandikwa na Mwananchi sijui kwanini povu linakutoka bure.Habari za Bwana Nassari kuchangisha fedha tulizisikia wote tena wengine humu jamvini walitoa ahadi ya kibao leo gazeti limefichua kwamba Nassari kabla hajapitishwa na chama chake tayari alishavuta fedha kibao kupitia harambee unadhani washindani wenzake ndani ya chama wametendewa haki ?.




Mwananchi.



Mkuu wangu hawakutendewa haki wana haki ya kulalamika hii ni sehemu ya demokrasia ambayo imo ndani ya katiba ya JMT.Ulitaka wakandamizwe halafu wanyamaze ?.



Wewe umeiona Mwananchi lakini bado haujaridhika unataka mleta asema alikoipata ha ha ha ha,sema haujaipenda habari yenyewe.



Habari za kuchangisha fedha Bwana Nassari kila mtu anajua ni kweli.Habari kwamba mchakato wa uchaguzi ndani ya cha CDM ulikuwa bado haujakamilika kila mtu anajua.Sasa naomba unijuze mnafiki ni nani kati yako wewe na ritz ?.



Amiliki, chama makini ni chama kinachotii sheria na kufuata taratibu na kanuni.Mtu makini na jasiri ni yule anayekubali makosa na kuyasahihisha na si kupindisha kama wewe unavyojitahidi.




Kama CDM taifa wamefikia hatua ya kumbeba mtu ambaye ana uwezo wa kujibeba mwenyewe siku ikitokea wakambeba mtu asiyebebeka ?.Nadhani ifike mahali CDM wafuate sheria,kanuni na taratibu ambazo nina hakika zipo isipokuwa zimewekwa pembeni.




Suala la uraia wa mgombea wa CCM limeingiaje hapa au ndiyo sehemu ya utetezi ha ha ha ha.



Mleta mada hana hizo tabia kabisa,sema kaleta habari usiyoipenda pengine hii ni sababu tosha ya kumbandika majina mabovu.





Nassari alisthubutu mwaka 2010 sawa lakini afuate taratibu za chama.

Heshma kwako Mkuu!

Sasa kwa majibu kama haya nashangaa anaibuka mtu anakuita Magamba mara umetumwa, mara mnafiki hivi kweli!!! Kwa nini tuaminishane kwamba kuna Vyama ama Chama ambacho ni perfect na hakipaswi kujadiliwa au kupewa ushauri?? Askofu mmoja alishawahi kusema" japo nina watumishi wanoitumikia Dayosisi na wako chini yangu ila kama watumishi hawa hawatakuwa na mifarakano eti kwa kusingizia wanafanya kazi za Kanisa basi watakuwa ni waongo na wanafikizi na hakuna kazi wanazofanya kwa usahihi bali wale wenye kufarakana na kutofautiana basi hao ndio wafaao" Sasa mimi nashangaa kwa kweli manake hili lililetwa humu tena kwa furaha na ikasemekana mchango huo ulifanyika KPH leo hali imekuwa tete watu wanaanza kwanza kujikana lakini pili kutuhumu wenzio...... Mi nadhani ni uungwana kukubali kosa lililofanyika na baada ya hapo watu waangalie the way forward.

Manake kwa kujifanya kuendelea kushikilia msimamo huo ni kumaanisha kuwa Joshua alishameza mamlaka ya ngazi za juu kwa kuonesha kuwa hakuna mwingine zaidi yake hivyo anathibitisha udhaifu wa wakuu wake this is very obvious wala haihitaji Diploma kulitambua hilo. Mnaweza dhani ni kitu chepesi tu ila kimsingii hayana tofauti hata kidogo na yale Vijana wa Arumeru waliyokuwa wakiyalalamikia juu ya upitishwaji wa mgombea wao. Mwalimu alisema kwake kaburu ni kaburu tu si lazma awe mzungu nami nadhani rushwa si lazma upewe ama upokee rushwa ni rushwa tu kama Joshua anabebwa na viongozi wa juu kuna harufu ya rushwa vile vile.....
 
Kama mtu umeamua kuingia kwenye kuomba fursa ya kugombea ubunge moja ni pamoja na kujiandaa,kujipima upepo kama kuna watu watakuunga mkono ikiwemo hata kuitisha harambee,si kosa kabisa alifanya vizuri,kama atapitishwa tayari atakuwa na mtaji wa kujiwezesha kufika maeneo mbalimbali

na akishindwa hizo hela hatawarudishia? Au atapeleka kwenye chama
 
Sasa kama hawapewi ushirikiano ndani ya chama na wao wamekwishaona hilo wanasubiri nini kwa mfano?????

Hivi wakishaanza kuwaza ubunge akili huwa hazichambui mambo kwa uyakinifu????

Kusoma hawajui may be.......na picha pia hawaoni???

Wana JF na wapenda CDM,

Hili swala linataka kugeuzwa kuwa ni mgogoro ndani ya CDM kwa interest za Chama Cha Majambazi-CCM. Hapa hakuna mgogoro mwanawane. Sioni kama ni kosa mtu kutangaza nia ya KUGOMBEA UBUNGE NA WAKATOKEA WAPENZI WA CDM NA WAPENZAI WA MHUSIKA kumchangia pesa ili kumwezesha. Katiba inasemaje mtu kutangaza nia ya kugombea? Je inasema asichangiwe kwasababu katangaza nia?

CDM tuwe makini sana na wavurugazi wa chama wanaopandikizwa na CCM. Bila shaka mmesikia kuna Mwana Magamba mmoja kakosa kupendekezwa na Chama chake cha Magamba kaamua kutimukia CDM na KUCHUKA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE!Natilia shaka sana mijitu kama hii,na ninachelea pengine ndiye aliyeanzisha chokochoko hizi za kijinga.Tusije tukafanya makosa kama ya Jimbo la Maswa Mash. kwa Mhe. Shibuda. Hawa ni watu wanaoitwa WABUNGE MASLAHI. Leo ukimyima nafasi ya kugombea anatimukia chama kingine lakini bado mapenzi yake yako alikotokea.

CDM lazima tuweke MGOMBEA ANAYEKUBALIKA KUANZIA SHINA MPAKA TAIFA. Hatutaki watu wa Magamba watuchagulie mtu kwa interest zao.
 
Back
Top Bottom