Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

Hauna "CREDIBILITY" ya kutuletea habari za CDM. Kajipange upya!

JF ni jukwaa huru sio mali ya Chadema kila member ana haki ya kuanzisha thread cha msingi ni kufuata sheria na kanuni za JF.

Wewe mbona upo sehemu mbili upo kwa Lowassa halafu upo na Chadema.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF ndio ili, badala ya kujibu hoja wanaleta porojo kwenye mambo ya msingi.

Mbona migogoro ya CCM, NCCR Mageuzi, CUF, mnaijadili kwa kasi ya ajabu, kubalini ukweli Arumeru kuna mgogoro.

Utahangaika sana.Waliokutuma waambie wamekosea stepu
 
JF ni jukwaa huru sio mali ya Chadema kila member ana haki ya kuanzisha thread cha msingi ni kufuata sheria na kanuni za JF.

Wewe mbona upo sehemu mbili upo kwa Lowassa halafu upo na Chadema.

Thread zako ni za kinafiki na uongo
 
watu wanatumika nijuavyo na ilivyokua Joshua alipotangaza nia walijitokeza watu wakamuunga mkono kwa kumpa michango hakuwahi kuitisha kikao cha michango bali wadau walimpa na hatujasikia zimetumika mpaka sasa kama yupo aliepewa ajitokeze aseme kapewa pesa na Joshua, nadhani hawa ndo watu wa kuondoa kwenye chama mara moja kulinda heshima na uaminifu wa chama kwa watanzania kutokuungwa mkono si sababu ya kumchafua mpiganaji mwenzako.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF siku zote wanataka tujadili mazuri ya Chadema, halafu wanasahau kuwa sote ni binadamu tunaweza kufanya makosa, hawataki kusikia kitu chachote kibaya kutoka ndani ya Chadema. Mgogoro upo lakini hawataki kujadili huo mgogoro wote wananishambulia mie utadhani mie ndio nimeleta huo mgogoro.
 
Nadhan Kuchangisha sio Tatizo!! Team work always someone should do His Part!! Hizi Hela zinaweza kutumika kwa mgombea yeyote atakaye ruhusiwa Kupeperusha Bendera!!
 
Mkuu Kukutia Ole.

Mkuu wangu bandiko lako limenifurahisha hakika JF inakosa magreat thinker kama wewe.Mleta hoja kaeleza vizuri badala ya kujibiwa kaishia kuambulia kebehi kwakuwa kaleta habari zisizopendwa kusomwa/kusikiwa na wanajamvi wengi.

Yalikuwa ni makosa makubwa sana kutendwa na Bwana Nassari na wote walioshiriki kuchangisha fedha kwaajili ya kampeni wakati chama kikiwa katika mchakato wa kumtafuta mgombea.Ni kweli Bwana Nassari ana nguvu kuliko wagombea wengine lakini hiyo haimpi haki ya kuchangisha fedha kabla hajateuliwa na chama chake.Pamoja na makosa yalifanywa bado hakuna dalili za mgogoro kwakuwa wanachama waliokandamizwa hawana nguvu/mvuto mkubwa katika jamii sana sana wanaweza kutumika.

CDM makao makuu ni vyema wakaweka utaratibu ili hali kama hii isitokee tena.Walioshiriki kuchangisha fedha kabla ya mchakato wa uchaguzi ndani ya chama haujakamilika wapewe karipio kali.


Nadhani hoja ya wahusika si swala la kuchangisha ama kupewa pesa kwa mwenzao hoja ni kwa nini tendo hilo lifanyike kabla Chama hakijampitisha mgombea??? Kama kweli kuna DEMOKRASIA kwa tendo hilo then the so called Democracy is raped......
 
watu wanatumika nijuavyo na ilivyokua Joshua alipotangaza nia walijitokeza watu wakamuunga mkono kwa kumpa michango hakuwahi kuitisha kikao cha michango bali wadau walimpa na hatujasikia zimetumika mpaka sasa kama yupo aliepewa ajitokeze aseme kapewa pesa na Joshua, nadhani hawa ndo watu wa kuondoa kwenye chama mara moja kulinda heshima na uaminifu wa chama kwa watanzania kutokuungwa mkono si sababu ya kumchafua mpiganaji mwenzako.

Mkuu Ufunuo,
Kuwa mkweli basi, Joshua Nassari kaitisha harambee Arusha ya kuchangisha fedha alifanikisha kuchangisha Sh10 milioni na magari manane ili kusaidia kwenye kampeni zaidi ya makada 50 waliitwa kuhudhuria harambee hiyo na Lema nae alikuwepo.
 
Hivi kwani kura za maoni za CDM zilifanyika lini? au zinafanyika lini? ndiyomambo yale ya kwamba mtu Fulani anakubalika/anapendwa na CDM makao makuu kamawalivyofanya huko nyuma kwa akina Mpendazoe?
 
Nadhan Kuchangisha sio Tatizo!! Team work always someone should do His Part!! Hizi Hela zinaweza kutumika kwa mgombea yeyote atakaye ruhusiwa Kupeperusha Bendera!!

Mkuu lengo la mchango huo ni tofauti na mawazo yako! Iliyofanyika sio harambee ya chama ni harambee ya kumsaidia Nassari kushinda ubunge sio kuteuliwa kuwa mgombea wa Chadema.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF siku zote wanataka tujadili mazuri ya Chadema, halafu wanasahau kuwa sote ni binadamu tunaweza kufanya makosa, hawataki kusikia kitu chachote kibaya kutoka ndani ya Chadema. Mgogoro upo lakini hawataki kujadili huo mgogoro wote wananishambulia mie utadhani mie ndio nimeleta huo mgogoro.

Mgogoro wa ardhi ni kweli upo
 
Mkuu lengo la mchango huo ni tofauti na mawazo yako! Iliyofanyika sio harambee ya chama ni harambee ya kumsaidia Nassari kushinda ubunge sio kuteuliwa kuwa mgombea wa Chadema.

So what!!
 
Ritz, i'm a "FREEMAN". Daima nasimamia kile ninachokiamini sawa.

Kama unalijua ilo basi na wewe usiwapangie watu vitu vya kupost humu JF...nashukuru nadhani tumekwenda sawa!
 
Mkuu Ufunuo,
Kuwa mkweli basi, Joshua Nassari kaitisha harambee Arusha ya kuchangisha fedha alifanikisha kuchangisha Sh10 milioni na magari manane ili kusaidia kwenye kampeni zaidi ya makada 50 waliitwa kuhudhuria harambee hiyo na Lema nae alikuwepo.

Acha kupiga porojo kwenye vyama visivyokuhusu
 
Back
Top Bottom