Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.
Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.