Mgogoro mkubwa Arusha Chadema waendelea kufukuzana

Cdm wana utaratibu wa kutoa taarifa si sawa na magamba ridhika na majibu ya kamanda Nanyaro wa brigedia ya Arusha ukitaka maelezo ya kina mwone msemaji wa chama kwanza si sifa ya makamanda kusema hovyo bali wapo kiutendaji zaidi

Kiutendaji zaidi ni pamoja na kusema uongo?

Utaratibu wa kutoa taarifa ni upi? kwa hiyo unakiri mgogoro upo ila mpaka msemaji wa chama. Kama ni hivyo Nanyaro asingetokeza hapa kukanusha wakati si msemaji.
 
Wanabodi.
Baadhi ya viongozi wa Chadema kata ya Elereai, wamepinga kufukuzwa kwao madarakani na kuhishutumu kamati ya utendaji ya wilaya chini ya Mwenyekiti wake, Efatha Nanyaro.

Viongozi wanaopinga kufukuzwa madarakani ndani ya kata hiyo ni pamoja na Mwenyeketi wa Kata ya Elerai, Dominick Mboya na Katibu wake Joseph Warioba.

Wengine Mwenyekiti wa Wazee, Bakari Kasembe, Mwenyekiti wa Vijana, Paul Maganga, na Katibu wake, Sia Temu, Mwenyekiti wa Wanawake, Mariam Suleman pamoja na mweka hazina. Baraka.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mmoja wa viongozi hao, Dominick Mboya alisema kwa mujibu wa katiba ya Chadema kamati tendaji ya wilaya haina mamlaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi uliowaingiza madarakani, kilichofanyika ni uhuni na ubabe tu.

Hizo ndio siasa za Chadema Arusha.

Huo mgogoro mkubwa upo wapi hapo. Mkuu uwe makini kwani inaonyesha unashabikia mambo kabla ya kufikiri. Angalia usiangukie kwenye kundi lille maarufu la akina Masaburi
 
Huo mgogoro mkubwa upo wapi hapo. Mkuu uwe makini kwani inaonyesha unashabikia mambo kabla ya kufikiri. Angalia usiangukie kwenye kundi lille maarufu la akina Masaburi

Mkuu huyu jamaa ana uhusiano ule wa karibu sanaaaaa na Masaburi na Nepi
 
omr rizt, mwita25 hawa waogope, ni wafuasi wa nape na propagamda zake za kutegengeneza kadi fake za cdm na kusomba watu na malori!mtajibeba!tuna akili sasa wajameni,!
wote hao ni wapenda amani
 
Hongera mkuu kwa kumjibu huyo jamaa.mimi mwenyewe nashangaa taarifa hiyo imetokea lini ni uzush mtupu

Kijana wewe ni Chadema-Kata huwezi kujua si unaona habari za mgogoro wenu Ritz ndio kawafahamisha.
 
Sasa ndio nakubali kuwa kumpoteza Regia ni pigo kubwa sana humu JF.Yani ndio nyie mnajitokeza kuziba pengo lake humu?

Kama huna hoja bora usichangie ,unaanza kutukumbushia mpendwa wetu tena.
 
Kijana wewe ni Chadema-Kata huwezi kujua si unaona habari za mgogoro wenu Ritz ndio kawafahamisha.

Wewe balozi wa nyumba kumi banaaa,hauko on top of things banaaaa,Propaganda hizo nenda kazifanye Kafuuu
 
watatafunana sana mwenyekiti wao yuko USA anakula maisha anaacha chama kikiwa kwenye mgogoro.
 
Wewe ni muongo huwezi kusema "magazeti ya leo" wakati mimi magazeti niliyoyasoma hayata habari/taarifa hiyo. Kama ipo Uhuru sorry sijawahi kusoma hilo gazeti na sitasoma; hata hivyo uhuru siyo magazeti yote ya leo.

Najiuliza maslahi yako na ya JF kwenye hili swala ni nini? Sioni ila ni lazima ujibiwe kukuthibitishia hakuna kitu cha kipuuzi kitapita bila kuchangiwa.

JF sio sehemu ya porojo soma gazeti la leo Mwananchi tarehe 6 Feb 2012. ukurasa wa 14.
 
Huwezi kukubali wakati wewe ndio ulikuwa Mwenyekiti kwenye kikao cha kuwafukuza wenzako!
Wacha kuvuruga watu hapa Arusha, kwanza uko wapi wewe habari kuletewa umeona ni dili la kutikisa CDM pole saana !!!!!

 
Wanabodi.
Baadhi ya viongozi wa Chadema kata ya Elereai, wamepinga kufukuzwa kwao madarakani na kuhishutumu kamati ya utendaji ya wilaya chini ya Mwenyekiti wake, Efatha Nanyaro.

Viongozi wanaopinga kufukuzwa madarakani ndani ya kata hiyo ni pamoja na Mwenyeketi wa Kata ya Elerai, Dominick Mboya na Katibu wake Joseph Warioba.

Wengine Mwenyekiti wa Wazee, Bakari Kasembe, Mwenyekiti wa Vijana, Paul Maganga, na Katibu wake, Sia Temu, Mwenyekiti wa Wanawake, Mariam Suleman pamoja na mweka hazina. Baraka.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mmoja wa viongozi hao, Dominick Mboya alisema kwa mujibu wa katiba ya Chadema kamati tendaji ya wilaya haina mamlaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi uliowaingiza madarakani, kilichofanyika ni uhuni na ubabe tu.

Hizo ndio siasa za Chadema Arusha.


Bado sana hii ndo just start?
chama kisicho makini , chama cha watu fulani na koo za na familia zao migogoro haiishi hasa kama katoea mtu mwingie toka koo nyingine.
soon people will realize cdm is nothing but kigenge cha wahuni.
 
Kama wameonewa wakate rufaa.acha majungu jadili mambo ya kitaifa

1.Ongezeko la mfumko wa bei
2.Kupanda kwa umeme
3.Kuuzwa kwa msitu mkubwa Iringa kwa mzungu
 
Mleta thread ni mpotoshaji mkubwa,anasema mgogoro mkubwa CHADEMA Arusha,na majibu yangu yapo sahihi kuwa CHADEMA hakuna mgogoro,
Swala la mimi kuwahi au kutokuwahi halina mashiko,yaani kuwa sasa naweza kutabiri nini kitakacholetwa hapa Jukwaani?
Narudia tena CHADEMA hakuna mgogoro
 
Kichenchede!!!
5.jpg
Ndio zao hizi kama ni mkeo sijui Ritz utafanyaje kwa huyo boss wako??????
 
kwa nini cdm inataka kujiimarisha katika fukuza fukuza ya wanachama na viongozi wake?????????????
chama kinajengwa kwa kuvumiliana ankukosoana sasa huu umwamba unatoka wapi??????????????

Lakini kumbuka pia kuna mapandikizi mengi ya CCM kwenye vyama vya upinzani!!!
 
Back
Top Bottom