Mgogoro mkubwa Arusha Chadema waendelea kufukuzana

Nanyaro,
Hakuna sehemu nimeichafua Chadema mie nimeeleza mgogoro huo wala sio uzushi ni kweli mmewatimua wenzenu.

Hivi mtu ukielezea mgogoro wa Cuf dhidi Amadi Rashidi ni kuichafua Cuf? au kuelezea mgogoro wa NCCR Mageuzi dhadi ya Kafulila ni kuichafua NCCR Mageuzi?

Kwanza wewe huwezi kuwa mtu aliye katika ulingo huru wa kupost thread kama hii,Lazima tu judge ukweli wake,Wewe si Gamba wewe? Craaaaap
 
Cdm wana utaratibu wa kutoa taarifa si sawa na magamba ridhika na majibu ya kamanda Nanyaro wa brigedia ya Arusha ukitaka maelezo ya kina mwone msemaji wa chama kwanza si sifa ya makamanda kusema hovyo bali wapo kiutendaji zaidi

Wewe una busara
 
Nanyaro,
Hakuna sehemu nimeichafua Chadema mie nimeeleza mgogoro huo wala sio uzushi ni kweli mmewatimua wenzenu.

Hivi mtu ukielezea mgogoro wa Cuf dhidi Amadi Rashidi ni kuichafua Cuf? au kuelezea mgogoro wa NCCR Mageuzi dhadi ya Kafulila ni kuichafua NCCR Mageuzi?

Upuuzi wote huu malipo sh ngapi mkuu wangu Ritz?
 
Kwanza wewe huwezi kuwa mtu aliye katika ulingo huru wa kupost thread kama hii,Lazima tu judge ukweli wake,Wewe si Gamba wewe? Craaaaap

Kwa hiyo unabisha kuwa Mwenyekiti wa kata ya Elerai, Dominick Mboya, na Katibu wake, Joseph Warioba na wengine hawajafukuzwa?
 
Efatha Nanyaro ni mnafiki sana viongozi wa aina hii ni hatari sana..

Kwenye magazeti ya leo amekiri mgogoro huo upo na kasema wote ambao hawakuridhika na uamuzi huo wakate rufaa ndani ya siku 42..

Saizi hizi humu JF anakanusha cha kushangaza zaidi Chadema-Kata wanamfia eti kajibu vizuri.

Wewe ni muongo huwezi kusema "magazeti ya leo" wakati mimi magazeti niliyoyasoma hayata habari/taarifa hiyo. Kama ipo Uhuru sorry sijawahi kusoma hilo gazeti na sitasoma; hata hivyo uhuru siyo magazeti yote ya leo.

Najiuliza maslahi yako na ya JF kwenye hili swala ni nini? Sioni ila ni lazima ujibiwe kukuthibitishia hakuna kitu cha kipuuzi kitapita bila kuchangiwa.
 
Kwa hiyo unabisha kuwa Mwenyekiti wa kata ya Elerai, Dominick Mboya, na Katibu wake, Joseph Warioba na wengine hawajafukuzwa?

Kwani kufukuzwa kama wamevunja katiba ya Chama ni Mgogoro? Mwizi akiiba ,mahakama ikamkuta na kosa na kuwekwa jela,Je hapo kuna mgogoro kati ya mahakama na huyo mwizi? Jijibu hapo
 
Wanabodi.
Baadhi ya viongozi wa Chadema kata ya Elereai, wamepinga kufukuzwa kwao madarakani na kuhishutumu kamati ya utendaji ya wilaya chini ya Mwenyekiti wake, Efatha Nanyaro.

Viongozi wanaopinga kufukuzwa madarakani ndani ya kata hiyo ni pamoja na Mwenyeketi wa Kata ya Elerai, Dominick Mboya na Katibu wake Joseph Warioba.

Wengine Mwenyekiti wa Wazee, Bakari Kasembe, Mwenyekiti wa Vijana, Paul Maganga, na Katibu wake, Sia Temu, Mwenyekiti wa Wanawake, Mariam Suleman pamoja na mweka hazina. Baraka.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mmoja wa viongozi hao, Dominick Mboya alisema kwa mujibu wa katiba ya Chadema kamati tendaji ya wilaya haina mamlaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi uliowaingiza madarakani, kilichofanyika ni uhuni na ubabe tu.

Hizo ndio siasa za Chadema Arusha.

of all the people ''ritz''???? shit msihangaike nae ni yule muosha makombo ya magamba!katumwa
 
Wewe ni muongo huwezi kusema "magazeti ya leo" wakati mimi magazeti niliyoyasoma hayata habari/taarifa hiyo. Kama ipo Uhuru sorry sijawahi kusoma hilo gazeti na sitasoma; hata hivyo uhuru siyo magazeti yote ya leo.

Najiuliza maslahi yako na ya JF kwenye hili swala ni nini? Sioni ila ni lazima ujibiwe kukuthibitishia hakuna kitu cha kipuuzi kitapita bila kuchangiwa.

Asante sana mkuu kusaidia katika hili.Inatakiwa tupambane na Virsi kama hivi vinavyotaka kuleta migogoro CDM
 
Sasa ndio nakubali kuwa kumpoteza Regia ni pigo kubwa sana humu JF.Yani ndio nyie mnajitokeza kuziba pengo lake humu?

omr rizt, mwita25 hawa waogope, ni wafuasi wa nape na propagamda zake za kutegengeneza kadi fake za cdm na kusomba watu na malori!mtajibeba!tuna akili sasa wajameni,!
 
Back
Top Bottom