Wewe unalipwa na Mbowe kiasi gani?
Ndugu hayo hayatujengi wala hayana faida kwa mtanzania yeyote. Tunasikitika kwa wenye mawazo kama haya ndani ya Tanzania ya leo.
Wewe unalipwa na Mbowe kiasi gani?
Kwa hiyo unakubali kuna mgogoro na wanachama wengine mmewafukuza?
CHADEMA Arusha,hakuna mgogoro,chama kipo IMARA,kuliko kipindi kingine chochote,