Hivi Pengo ni nani nchi hii ukiondoa uongozi wake ndani ya RC.
Hii makala safi sana ngoja nimuombe mwandishi tuichape
Mkuu, heshima yako!!!Hii makala safi sana ngoja nimuombe mwandishi tuichape
Hivi Pengo ni nani nchi hii ukiondoa uongozi wake ndani ya RC.
Ni Mtanzania wa kawaida, lakini ukimpima kwa integrity yake yuko juu,ni kiongozi wa dhehebu la kikatoliki, ni mmoja kati ya wanaharakati wazalendo wa kitanzania, ni mwanachama mwaminifu wa TANU.nI MMOJA KATI YA WATANZANIA WANAOLILIA MAISHA BORA LAKINI HAYAPATIKANI KUTOKANA NA SERA NA UONGOZI MBOVU WA CCM
Malizia basi kusema kuwa ni mfadhili mkuu na mwanachama mwaminifu wa Chadema