Wanatarajia kufunga baada ya miaka miwili, kwahiyo wanachofanya sasa ni maandalizi ambayo yanajumuisha ufukiaji wa mashimo kisha kupanda miti na kuhakikisha mazingira yamekuwa kama walivyoyakuta.Basi na wawe wastaarabu kidogo. Kabla ya kuondoka angalau kwanza wafukie hayo makorongo waliotuachia. Wanategemea hata hiyo kazi tufanye sisi?
Kwa hilo la kuondoka Barrick ndugu yangu sema jingine hawawezi kuondoka leo wala kesho.Heri yaishe. Hatimaye Mafisadi watakosa cha kufisadi na akina Barrick wataondoka na hapo tutapata viongozi wa kweli kweli na siyo hawa wanaowekwa na akina RA.