Mgeni!

Vipi ukifungua mlango wa chumbani kwako kisha unamkuta huyu jamaa kajipumzisha




01%2BMeserani%2Bsnake%2Bpark%2BArusha.jpg
02%2BMeserani%2Bsnake%2Bpark%2BArusha.jpg


mmmhh itabidi nim kumbatie..
 
Siku ringa jamani Laaziz wangu lol,sikuona tu hilo swali si unajua mimi ni mvivu wa kutembelea thread zote zinazokuwa ndefu,Lakini hata hapa nikikujibu kuna ubaya?Ila naogopa wataniona labda tuzime taa.

ndio nimesoma jana nikakuuliza jina la huyo mtu ..
ukaringa kuniambia haya bwana...[/QUOTE]
 
aaah umenikumbusha meserani snake park kuna za kila aina.
Na kweli huyu ni wa pale Meserani bana..ukiingia tu!

Ila mkuu nikampata kama huyo kitandani namwambia tu asogee tulale wote asitumie kitanda chote!
 
Siku ringa jamani Laaziz wangu lol,sikuona tu hilo swali si unajua mimi ni mvivu wa kutembelea thread zote zinazokuwa ndefu,Lakini hata hapa nikikujibu kuna ubaya?Ila naogopa wataniona labda tuzime taa.

ndio nimesoma jana nikakuuliza jina la huyo mtu ..
ukaringa kuniambia haya bwana...
[/QUOTE]


haya bwana ni Pm jina lake basi.....
mmmhhh maana sijui ni kwa nni nataka kujua ni nani lakini nataka kujua tu
hahahahhhhahha lol
 
dawa yake unga wa mahindi ,mpe abwie hadi achoke anaondoka zake swalamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom