KICHINJIO 15
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 823
- 625
Walimu wa madarasa, academic master/mistress, walimu wa nidhamu, makamu mkuu wa shule, walimu wa michezo, n.k hao wote hawakomai na majukumu yao?Hakuna mwalimu anayekomaa na majukumu mengine zaidi ya kufundisha kipindi chake labda kama hana akili timamu
Sipati picha wala negative ya hiyo shule.
Watu wakisema walimu wengi ni wezi mnawatukana.