Mgeni kukuacha na madeni kisa ukarimu

Mgeni akija watoto piga nyama chini kwenye mkeka. Mgeni apewe kitanda.
hii bomba sana, sisi nakumbuka tumelala sana chini maana home tulikuwa tunapaita hospital, wagonjwa kibao wa kutoka kijijini kwa dad na mama, kisa mama nurse. wakija hospital wanafikia nyumbani, hata baada ya matibabu kuisha wanasingizia wanajiangalizia kwanza
 
hii bomba sana, sisi nakumbuka tumelala sana chini maana home tulikuwa tunapaita hospital, wagonjwa kibao wa kutoka kijijini kwa dad na mama, kisa mama nurse. wakija hospital wanafikia nyumbani, hata baada ya matibabu kuisha wanasingizia wanajiangalizia kwanza

duuuuuhhhh
Mama nesi hapo wageni hawaishi.
yaani mzazi akiwa na professional fulani hivi kwisha kazi.
au nduguze,jamaa na marafiki wakisha jua ana kipato fulani.

nyama chini mkeka asubuhi ukiamka miraba yote ya mkeka usoni.
au ili kitanda kimoja watu wanne . wawili kichwa juu wawili kichwa chini.
ni mtindo wa kukanyagana kwa kwenda mbele asubuhi ngeu kama umetoka kuiba . :A S 13:
 
duuuuuhhhh
Mama nesi hapo wageni hawaishi.
yaani mzazi akiwa na professional fulani hivi kwisha kazi.
au nduguze,jamaa na marafiki wakisha jua ana kipato fulani.

nyama chini mkeka asubuhi ukiamka miraba yote ya mkeka usoni.
au ili kitanda kimoja watu wanne . wawili kichwa juu wawili kichwa chini.
ni mtindo wa kukanyagana kwa kwenda mbele asubuhi ngeu kama umetoka kuiba . :A S 13:
hayo ya kitanda watu 4 ndo yalikuwa maisha ya kila siku. watoto wa shangazi, mama wakubwa, binamu zake wifi yake mama etc etc wote munaishi nao, kila mtu kitanda chake mtaweza wapi? chumba kimoja vitanda 2, kila kitanda watu wasiopungua 3. mimi nimeanza kulala kitanda cha peke yangu nilipoenda form one boarding, na siku za mwanzo nilikuwa naogopa kulala mwenyewe nikawa naomba kulala na wenzangu
 
hayo ya kitanda watu 4 ndo yalikuwa maisha ya kila siku. watoto wa shangazi, mama wakubwa, binamu zake wifi yake mama etc etc wote munaishi nao, kila mtu kitanda chake mtaweza wapi? chumba kimoja vitanda 2, kila kitanda watu wasiopungua 3. mimi nimeanza kulala kitanda cha peke yangu nilipoenda form one boarding, na siku za mwanzo nilikuwa naogopa kulala mwenyewe nikawa naomba kulala na wenzangu

hahahahahahahahah lohhhh
Maisha tuliyopitia tacheni tu turinge jamani..

mi nilikuwa napenda sana wageni sababu moja tu HATUCHAPWI mbele ya mgeni.
kwa hiyo kukiwa na mgeni umepona. "Omba Mungu mzazi asikumbuke kosa baada ya mgeni kuondoka"
kuna wale wageni wanakuja na kuka wiki wanaondoka , lakini kuna wale wakija mwezi miezi miwili hawaondoki
na wageni wakisha kuwa wenyeje bakora unakula ukifanya kosa...
 
hahahahahahahahah lohhhh
Maisha tuliyopitia tacheni tu turinge jamani..

mi nilikuwa napenda sana wageni sababu moja tu HATUCHAPWI mbele ya mgeni.
kwa hiyo kukiwa na mgeni umepona. "Omba Mungu mzazi asikumbuke kosa baada ya mgeni kuondoka"
kuna wale wageni wanakuja na kuka wiki wanaondoka , lakini kuna wale wakija mwezi miezi miwili hawaondoki
na wageni wakisha kuwa wenyeje bakora unakula ukifanya kosa...
sisi kwetu kuchapwa hakukuwa kwa saana, hao wazazi watamchapa nani wamwache nani? maana tulivyokuwa wengi na makosa mengi yalikuwa yanafanywa kwa makundi so mzazi akiamua kuchapa ni kama anajipa adhabu labda aombe na wagonjwa wasaidiane, kila mtu ashike mtoto mmoja.
wakati ule tatizo lilikuwa kwenye nyama, the only nyama ambayo tulikuwa tuna-afford ilikuwa kuku sababu tunafuga wenyewe, sasa kama wageni wamezidi kuku akichinjwa wengine mnapata mchuzi na utumbo, ha haaaa. yaani ni kwa vile tu huwezi kupika manyoya, otherwise tungekuwa tunayapika...... sasa hapo wakati mwingine mnaweza mkakaa miezi 2 bila kula nyama, na hapo kumbuka mnalala chini na subuhi hakuna chai ya sukari.
Haya maisha bwana................ uzuri kuna mwanzo na mwisho wa kila kitu
 
sisi kwetu kuchapwa hakukuwa kwa saana, hao wazazi watamchapa nani wamwache nani? maana tulivyokuwa wengi na makosa mengi yalikuwa yanafanywa kwa makundi so mzazi akiamua kuchapa ni kama anajipa adhabu labda aombe na wagonjwa wasaidiane, kila mtu ashike mtoto mmoja.
wakati ule tatizo lilikuwa kwenye nyama, the only nyama ambayo tulikuwa tuna-afford ilikuwa kuku sababu tunafuga wenyewe, sasa kama wageni wamezidi kuku akichinjwa wengine mnapata mchuzi na utumbo, ha haaaa. yaani ni kwa vile tu huwezi kupika manyoya, otherwise tungekuwa tunayapika...... sasa hapo wakati mwingine mnaweza mkakaa miezi 2 bila kula nyama, na hapo kumbuka mnalala chini na subuhi hakuna chai ya sukari.
Haya maisha bwana................ uzuri kuna mwanzo na mwisho wa kila kitu


hahahahahahahahhaahhah lohhhhh
Nimecheka dahhhh we hufai kwa kweli ..

usema ukweli matukio mengi ya udogoni ni vigumu sana kusahahu.

kilichokuwa kinanishangaza zaidi ni pale umuombe mzazi kitu . atakwambia fedha hamna subiri mwisho wa mwezi.
lakini mgeni akitokea iwe katikati ya mwenzi au la. hela za kwenda buchani sijui kununua mchele zinapo. huwa
nilikuwa najiuliza je wazazi wetu wanaweka hizi fedha akiba ajili wa wageni tu au? Na hapo siku mgeni anaondoka
atapewa nauli na fedha za kula njiani atabeba na maharage debe moja , mahindi debe tatu, maboga yaaani dahhhh.
 
Fixed point na Afrodenzi mmenikumbusha mbali sana!
Kuna mamdogo alikuwa anaishi like 60 kms away na familia yake. Ana 5 kids na sie tulikuwa 6. Imagine xmas na new year lazma tuhame nyumba! Sasa chumbani tunalala us 3 gals na wao 4 gals! Yaani kulikuwa na extra matress on one bed ila sijui tulikuwa tunapumuaje. It was the best times!
 
Mmnh; nikikutembelea utanilisha miharage? Tusiache mila jamani, twaweza boresha though!

No! sitafanya hivyo kama siku hiyo utakuta nimepika nyama ila kama ratiba au uwezo wa siku uliokuja unaeleza maharage kweli kaka utayala.
 
Mmnh; nikikutembelea utanilisha miharage? Tusiache mila jamani, twaweza boresha though!

ukiwa kwako miharage hauli? Tuacheni kupenda vizuri kwa watu. Kuna bibi yangu nae akienda kumtembelea mtu ni shughuli, akikaa wiki tu mshachoka na budget kashawavurugia kwa mambo hayo hayo ya kupenda kujenga shavu kwa pochi la ndugu.
 
hii bomba sana, sisi nakumbuka tumelala sana chini maana home tulikuwa tunapaita hospital, wagonjwa kibao wa kutoka kijijini kwa dad na mama, kisa mama nurse. wakija hospital wanafikia nyumbani, hata baada ya matibabu kuisha wanasingizia wanajiangalizia kwanza

Tehe tehe duu kweli na hiyo ipo umenikumbusha tuliletewa wageni mara kwa mara kisa tupo mjini yaani Dar wabongo si balaa
 
sisi kwetu kuchapwa hakukuwa kwa saana, hao wazazi watamchapa nani wamwache nani? maana tulivyokuwa wengi na makosa mengi yalikuwa yanafanywa kwa makundi so mzazi akiamua kuchapa ni kama anajipa adhabu labda aombe na wagonjwa wasaidiane, kila mtu ashike mtoto mmoja.
wakati ule tatizo lilikuwa kwenye nyama, the only nyama ambayo tulikuwa tuna-afford ilikuwa kuku sababu tunafuga wenyewe, sasa kama wageni wamezidi kuku akichinjwa wengine mnapata mchuzi na utumbo, ha haaaa. yaani ni kwa vile tu huwezi kupika manyoya, otherwise tungekuwa tunayapika...... sasa hapo wakati mwingine mnaweza mkakaa miezi 2 bila kula nyama, na hapo kumbuka mnalala chini na subuhi hakuna chai ya sukari.
Haya maisha bwana................ uzuri kuna mwanzo na mwisho wa kila kitu

tehe tehe tehe yaani nilikuwa sina raha imenibidi nicheke saana safi sana Fixed point kwa kutupa flash back ya maisha uliopitia.Kwenye kuku hapo ndo kuna ugomvi unakuta kuku umewazolea ma.vi kwa muda mrefu alafu mlaji anakuwa mgeni isitoshe watoto wanapewa miguu na kichwa mmependelewa sana unapewa kikwapa cha kuku tehe tehe hizi mambo ulaya hamna kabisa.
 
ukiwa kwako miharage hauli? Tuacheni kupenda vizuri kwa watu. Kuna bibi yangu nae akienda kumtembelea mtu ni shughuli, akikaa wiki tu mshachoka na budget kashawavurugia kwa mambo hayo hayo ya kupenda kujenga shavu kwa pochi la ndugu.

Du mimi maharage na jamii ya kunde niliagana navyo skuli, ila wanapika ingawa naweza end kula wali na kachumbari. Nikienda ugenini naishia kuchota mchuzi wake kama hakuna majani!

Lkn mgeni siku ya kwanza, au weekend ya kwanza mlishe at least kuku wa kienyeji, siku nyingine ratiba iendelee! Usisahau quantity itaongezeka hata kama quality itakuwa the same!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom